Mwamsiku
Member
- Feb 9, 2017
- 66
- 14
Wakuu kama kichwa kinavyo jieleza ,Mimi Kijana mwenye umri wa miaka 24 nilie maliza Chuo nikichukua kada ya engineering
Lengo.
Ni kwamba nimekua Na idea nying za kibiashara naweza list some of them ambazo ziko priority kwan nimefanyia research..
1.making whiteboard
Kwa wasiojua hii ni aina ya ubao ambazo zimekua zikitumika Kwa katika institution za kielimu.
2.utengenezaji wa detergent
3.utengenezaji wa sofa za kisasa
Na nyingine nying na ni wazi kwamba zote hapo juu Nina maandiko yake special so please kwayoyote atakaye kua tayari asa Kwa upande wa kufinance I'll be happy Na tunahaid kuonyesha ushirikiano wa dhati.
Ikumbukwe kwamba nina watu kama wawili ambao pia nimekua nikiwatrain Na mmoja kati yao ni mtu wa marketing ..
Note itakua Vzr zaid Kwa wa kazi wa dar hope itapendeza ..
Nakalibisha Kwa maoni na michango chanya..
Lengo.
Ni kwamba nimekua Na idea nying za kibiashara naweza list some of them ambazo ziko priority kwan nimefanyia research..
1.making whiteboard
Kwa wasiojua hii ni aina ya ubao ambazo zimekua zikitumika Kwa katika institution za kielimu.
2.utengenezaji wa detergent
3.utengenezaji wa sofa za kisasa
Na nyingine nying na ni wazi kwamba zote hapo juu Nina maandiko yake special so please kwayoyote atakaye kua tayari asa Kwa upande wa kufinance I'll be happy Na tunahaid kuonyesha ushirikiano wa dhati.
Ikumbukwe kwamba nina watu kama wawili ambao pia nimekua nikiwatrain Na mmoja kati yao ni mtu wa marketing ..
Note itakua Vzr zaid Kwa wa kazi wa dar hope itapendeza ..
Nakalibisha Kwa maoni na michango chanya..