Tafadhali Rose anahitaji mawazo yako!!..

&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Tatizo ni nani atakaekua anatoa hiyo huduma?Maana mume wake mtarajiwa anaweza kukataa!
<br />
<br />
kumbe hilo ndo tatizo...Mimi hapa nitakua natoa huduma pindi atakapokua ameshaolewa ni PM nikupe namba yangu umpelekee
 
<br />
<br />
Hii ni kweli tupu mkuu!Chukua tano!
 
Ji baba la miaka 35 , linavumilia more than 8 months kwa ajili ya ndoa ?
Either mtoa mada umeleta usanii hapa au kuna kitu zaidi ambacho mwanaume anaficha ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…