Tafadhali Shilole usinunue Rolls Royce

Kwa hali hii bora serikali isitishe kuhalalisha bangi
 
We senge ww
 
Jamaa kawasilisha kwa kutumia akili kubwa sana kama ukisoma between lines. Vichwavya panzi hamuwezi kuelewa
 
Anyway, una kitu kichwani kwako, nimekukubali, na nia yako nimeijua, all in all, uko vizuri kwa ulichohitaji kufanya na kwa mbinu uliyoitumia.
BARUCH SPINOZA
Mwamba ni blogger au anakula mpunga wa affiliation kwa kutulaghai wanajamvi
 
Watanzania tuwe macho kidogo pia ogopa matapeli ivi gari ya 1.9b km 00 imewekwa kwenye kontena chakavu tena haiko wrapped kiusalama kwenye hiyo kontena. acheni jamani izi mambo🤣🤣
 
Watanzania tuwe macho kidogo pia ogopa matapeli ivi gari ya 1.9b km 00 imewekwa kwenye kontena chakavu tena haiko wrapped kiusalama kwenye hiyo kontena. acheni jamani izi mambo🤣🤣
Tu-assume kanunua
 
Atanunuaje hiyo gari wakati hela ya kununua mtori[emoji28][emoji28][emoji1787]tu ni changamoto kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…