Barnaba mbalale
Member
- Apr 4, 2014
- 55
- 6
ninaomba mnipe details kuhusu skul hizi kwa kusoma a level"
[lugoba,bagamoyo,minaki,benjamini na mzumbe] kama unafaham chochote kati ya hzo skul naomba nijuze
Ninaomba mnipe details kuhusu skul hizi kwa kusoma a level"
[lugoba,bagamoyo,minaki,benjamini na mzumbe] kama unafaham chochote kati ya hzo skul naomba nijuze
hapo shule nzuri ni mzumbe.kigezo cha kawaida div 1 ya maana.two marachache matokeo yakiwa mabaya..shule ni mbaya kimajengo na mabweni kama hujazoea unaweza rudi.kitabu cha ukweli yaanii kama umetumwa na kijiji.eneo lipo kilometre 26 toka morogoro mjini.na ukichaguliwa hapa hongera.
Bagamoyo utamkuta mwalimu anaitwa KITUNGWA......!!!!
tuambie umechaguliwa shule gani, pengine ni nzuri kuliko hizo
Kwanza post tayar kijana?