Frank Higno Fuime
Senior Member
- Dec 20, 2020
- 104
- 153
Habarii wandugu,
Poleni na majukumu ya mwanzoo wa wiki nimeonelea leo tuwakumbuke watu waliowahi kuwa makamu wa raisi wa Tanganyika 1962-1964 na baadae Tanzania 1964 mpaka sasaa.
Wajuvii wa siasa na historia ya nchi watuambiee upi ulikua msingii wao hasa au Ni vivuli tu watu wasiopaswa kusema lolote.
Karibuu
Poleni na majukumu ya mwanzoo wa wiki nimeonelea leo tuwakumbuke watu waliowahi kuwa makamu wa raisi wa Tanganyika 1962-1964 na baadae Tanzania 1964 mpaka sasaa.
Wajuvii wa siasa na historia ya nchi watuambiee upi ulikua msingii wao hasa au Ni vivuli tu watu wasiopaswa kusema lolote.
Karibuu