bioto
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,261
- 2,097
Kuna watu tuna matatizo ya kunywa pombe kwanza kila unapotaka kufanya jambo fulani;
> Tukiwa na furaha tunakunywa pombe kwa ajili ya kusherekea
> Tukiwa na huzuni tunakunywa ili tufurahi
> Tukiwa na mawazo tunakunywa pombe ili tusahau
> Tukiwa na hasira tunakunywa ili hasira zipungue
> Tukiwa na aibu tunakunywa ili tuwe majasiri
Yaani ukitaka kufanya kitu lazima unywe pombe ndio ufanye. Jamani wenzangu wenye hili tatizo tukutane sehemu tunywe kidogo ili tulijadili na kutatua hili swala
> Tukiwa na furaha tunakunywa pombe kwa ajili ya kusherekea
> Tukiwa na huzuni tunakunywa ili tufurahi
> Tukiwa na mawazo tunakunywa pombe ili tusahau
> Tukiwa na hasira tunakunywa ili hasira zipungue
> Tukiwa na aibu tunakunywa ili tuwe majasiri
Yaani ukitaka kufanya kitu lazima unywe pombe ndio ufanye. Jamani wenzangu wenye hili tatizo tukutane sehemu tunywe kidogo ili tulijadili na kutatua hili swala