kuna mashirika ya umma kama tanapa, tra n.k. je mashirika haya wanaajiri watu baada ya muda gani?. TRA walimfanyia oral interview rafiki yangu mwezi mmoja umepita hakuna feedback yeyote. TANAPA kazi za mwezi wa kwanza leo ndo wanaita watu kwenye written interview. je kuna kazi hapo au ndo...............