Ndugu zangu,
"Na hakika, kwa kutanguliza ubinafsi wetu, tunawaandalia watoto na wajukuu wetu, mazingira magumu ya kuishi kwa amani katika nchi yao.
Katiba Mpya ijayo, iwe ni kwa Tanzania ya leo, kesho na keshokutwa. Ni urithi wa maana na wa kistaarabu tutakaowaachia watoto na wajukuu zetu.
Na Tume Huru ya Uchaguzi, ni DHAMANA ya kipekee ya Amani na Utulivu tutakayowaachia Watanzania wa vizazi vijavyo.
Maana, katika nchi zetu hizi, mara nyingi watu huanza kuchinjana kutokana na kukosa imani na wenye kuhesabu kura; hivyo, Tume ya Uchaguzi. " Tafadhali Usininukuu.
Maggid Mjengwa,
Iringa.
http://mjengwablog.co.tz
"Na hakika, kwa kutanguliza ubinafsi wetu, tunawaandalia watoto na wajukuu wetu, mazingira magumu ya kuishi kwa amani katika nchi yao.
Katiba Mpya ijayo, iwe ni kwa Tanzania ya leo, kesho na keshokutwa. Ni urithi wa maana na wa kistaarabu tutakaowaachia watoto na wajukuu zetu.
Na Tume Huru ya Uchaguzi, ni DHAMANA ya kipekee ya Amani na Utulivu tutakayowaachia Watanzania wa vizazi vijavyo.
Maana, katika nchi zetu hizi, mara nyingi watu huanza kuchinjana kutokana na kukosa imani na wenye kuhesabu kura; hivyo, Tume ya Uchaguzi. " Tafadhali Usininukuu.
Maggid Mjengwa,
Iringa.
http://mjengwablog.co.tz