kasitile
Member
- Feb 22, 2011
- 32
- 0
Pole na majukumu wakuu!
Naomba msaidie/kunipa ushauri kuhusu hili
Mwaka 2011 mama yangu mzazi (ana miaka 50) alipata tatizo la kutokwa na damu mfululizo kwa muda wa miezi 6.Ilikuwa hivyo kwa sababu alificha tatizo.Lakini baada ya kutambua hilo,alienda hospitali na kupatiwa dawa,ambazo zilitatua tatizo.Lakini sasa tatizo limerudi tena.
Naomba kujua tatizo hili linasababiswa na nini hasa?nini madhara yake?na tiba yake ya kudumu.Nauliza hivi kwa sababu hata mara ya kwanza hospitali hatukupata maelezo ya kutosheleza,na kwa kuwa alipatiwa dawa ambazo zilisaidia sana,kwa hilo sikufuatilia sana.Najua mwisho wa siku ni kwenda hospitali,lakini kama mnavyojua,hospitali zetu za kijijini,na huduma za afya kwa ujumla zilizvyo.Kujua tatizo ni nusu ya kutatua tatizo.
Natanguliza shukrani.
Naomba msaidie/kunipa ushauri kuhusu hili
Mwaka 2011 mama yangu mzazi (ana miaka 50) alipata tatizo la kutokwa na damu mfululizo kwa muda wa miezi 6.Ilikuwa hivyo kwa sababu alificha tatizo.Lakini baada ya kutambua hilo,alienda hospitali na kupatiwa dawa,ambazo zilitatua tatizo.Lakini sasa tatizo limerudi tena.
Naomba kujua tatizo hili linasababiswa na nini hasa?nini madhara yake?na tiba yake ya kudumu.Nauliza hivi kwa sababu hata mara ya kwanza hospitali hatukupata maelezo ya kutosheleza,na kwa kuwa alipatiwa dawa ambazo zilisaidia sana,kwa hilo sikufuatilia sana.Najua mwisho wa siku ni kwenda hospitali,lakini kama mnavyojua,hospitali zetu za kijijini,na huduma za afya kwa ujumla zilizvyo.Kujua tatizo ni nusu ya kutatua tatizo.
Natanguliza shukrani.