nimeimisi mno ligi kuu yetu na hasa jinsi waamuzi wanavyopokea milungula ya timu kubwa na kwa sasa moja yenye utajiri wa mdhamini mkwepa kodi mzoefu ili waibebe katika matokeo na maamuzi
Na tafadhali akina musonda, chama, Inonga na Mayele na Zambia pamoja na Congo DR zenu hebu tutoeni upesi taifa stars / Tanzania mashindanoni afcon ili ligi kuu yetu yenye ubora wa kipuuzi barani afrika iweze kuendelea
Na tafadhali akina musonda, chama, Inonga na Mayele na Zambia pamoja na Congo DR zenu hebu tutoeni upesi taifa stars / Tanzania mashindanoni afcon ili ligi kuu yetu yenye ubora wa kipuuzi barani afrika iweze kuendelea