TAFADHARI PITA HAPA KWA MAONI MTAZAMO NA USHAURI.

TAFADHARI PITA HAPA KWA MAONI MTAZAMO NA USHAURI.

Mhina Martin

Senior Member
Joined
Apr 3, 2017
Posts
144
Reaction score
189
Mimi nimuajiriwa wa Kijijini chenye idada ya Watu 2300 ,shughuli zao kubwa ni kilimo cha mahindi Kwa Sana maharage Na Mpunga kidogo ,zao la mkonge limetawala baadhi wazee wanapga pesa za mkonge so hichi kijijini kilikuwa hakina umeme muda, Ila kwa sasa tangu May 2 Tanesco wameanza Kazi kuleta maguzo Na kusambaza nyaya hivyo mwezi huu Umeme unawaka Katika hichi kijiji My point Juu ya ujio huu wa umeme naweza nikaanzisha biashara Gani itakayonipatia kipato Ili nicheze Na hii fursa mapema Nakaribisha Ushaur,Maoni Na mitazamo napokea
 
Mimi nimuajiriwa wa Kijijini chenye idada ya Watu 2300 ,shughuli zao kubwa ni kilimo cha mahindi Kwa Sana maharage Na Mpunga kidogo ,zao la mkonge limetawala baadhi wazee wanapga pesa za mkonge so hichi kijijini kilikuwa hakina umeme muda, Ila kwa sasa tangu May 2 Tanesco wameanza Kazi kuleta maguzo Na kusambaza nyaya hivyo mwezi huu Umeme unawaka Katika hichi kijiji My point Juu ya ujio huu wa umeme naweza nikaanzisha biashara Gani itakayonipatia kipato Ili nicheze Na hii fursa mapema Nakaribisha Ushaur,Maoni Na mitazamo napokea
Sasa kama wewe msomi unakuja JF kuokba ushauri, hao wanakijiji nani atawashauri.
 
Mimi nimuajiriwa wa Kijijini chenye idada ya Watu 2300 ,shughuli zao kubwa ni kilimo cha mahindi Kwa Sana maharage Na Mpunga kidogo ,zao la mkonge limetawala baadhi wazee wanapga pesa za mkonge so hichi kijijini kilikuwa hakina umeme muda, Ila kwa sasa tangu May 2 Tanesco wameanza Kazi kuleta maguzo Na kusambaza nyaya hivyo mwezi huu Umeme unawaka Katika hichi kijiji My point Juu ya ujio huu wa umeme naweza nikaanzisha biashara Gani itakayonipatia kipato Ili nicheze Na hii fursa mapema Nakaribisha Ushaur,Maoni Na mitazamo napokea
Anzisha mashine ya kukukoboa mpunga na kuweka kwenye vifungashio na mashine za kukamua alizeti
 
Back
Top Bottom