Kassimu Mchuchuri
Member
- Aug 9, 2018
- 95
- 293
Ayo mambo ya kishenzi nilifanya hesabu zikagoma ni bora niuze ata mkaaa gunia moja baada ya miaka kumi takua nayo kumi kila siku nitaongezeka kuliko kunufaisha mwingine wew uko pale pale unafanyia kazi tumbo na nguo never nawashangaa sana wanao lalamika ajira amuna mimi iyo dini ya kuajiriwa sio mufuasi kabisa.
Inategemeana na position uliyopo lakini..
Samahani..uliajiriwa wapi wewe!