Tafakari kwa makini: Iweje uweke mashindano ikiwa tayari unamjua mshindi?

Tafakari kwa makini: Iweje uweke mashindano ikiwa tayari unamjua mshindi?

tuwe wakweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
223
Reaction score
59
Binafsi mpaka sasa uelewa nilionao juu ya serikali yetu juu ya mambo mengine likiwemo suala la MCHAKATO WA KATIBA MPYA MPAKA KUFIKIA HATUA YA UPIGAJI KURA ni kuwa serikali hii ni mchawi wa maendeleo,amani na upendo wa Watanzania.Na ninafuraha kuiita hata SERIKALI UKOMA.

Serikali kwa makusudi mmeuharibu mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya ya Watanzania wote na mnakuja kuwapumbaza watanzania kwa kuipambapamba kuwa inawafaa kumbe ni uharo mtupu na dhambi hii mtalipwa hapahapa duniani,

lakini mnaona haitoshi mnaamua kutumia mabilioni ya shilingi kuhonga wananchi na kuwapa vitisho mkiwarubuni waipigie kura ya NDIYO na mnatamba lazima ipite,

binafsi nafikiri makundi mbalimbali yangeruhusiwa kusambaza hii elimu ya uraia kwa raia ili wafanye maamuzi yenye manufaa kwao na kuliko kuwazuia elimu dhidi ya kura ya HAPANA kama vp msiweke kura.

Ila nawambieni tupo kupambani nanyi kila eneo na kila idara. CCM=Carlpeters,SERIKALI=Mangungo wa Msovero, Mwisho nasema "MBUMBUMBU ANA STAREHE KWENYE NCHI YA MAFISADI"
 
Binafsi mpaka sasa uelewa nilionao juu ya serikali yetu juu ya mambo mengine likiwemo suala la MCHAKATO WA KATIBA MPYA MPAKA KUFIKIA HATUA YA UPIGAJI KURA ni kuwa serikali hii ni mchawi wa maendeleo,amani na upendo wa Watanzania.Na ninafuraha kuiita hata SERIKALI UKOMA.

Serikali kwa makusudi mmeuharibu mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya ya Watanzania wote na mnakuja kuwapumbaza watanzania kwa kuipambapamba kuwa inawafaa kumbe ni uharo mtupu na dhambi hii mtalipwa hapahapa duniani,

lakini mnaona haitoshi mnaamua kutumia mabilioni ya shilingi kuhonga wananchi na kuwapa vitisho mkiwarubuni waipigie kura ya NDIYO na mnatamba lazima ipite,

binafsi nafikiri makundi mbalimbali yangeruhusiwa kusambaza hii elimu ya uraia kwa raia ili wafanye maamuzi yenye manufaa kwao na kuliko kuwazuia elimu dhidi ya kura ya HAPANA kama vp msiweke kura.

Ila nawambieni tupo kupambani nanyi kila eneo na kila idara. CCM=Carlpeters,SERIKALI=Mangungo wa Msovero, Mwisho nasema "MBUMBUMBU ANA STAREHE KWENYE NCHI YA MAFISADI"

Kuhusu suala mchakato wa Katiba Inayopendekezwa ACHA NA KOMA KABISA KUTUMIA NENO “mchawi” Mchawi wa mtu ni mtu mwenyewe. Maneno yako ni mchawi wako. Mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya ya Watanzania haujaharibika, taratibu zake zipo kisheria na bado zipo kihalali na zinazingatiwa. Usidharau juhudi ya Watanzania na hatua iliyofikiwa kwenye mchakato wa Katiba. Una maneno machafu yasiyo na msingi na wala hujatumia busara katika kuandikia wasomaji wako. Jiheshimu nawe utaheshimiwa.


Kazi yako ya kupambana ibaki kwako na upambane mwenyewe na nafsi yako. Acha kuwa na tabia ya kichochezi na mdomo wa kidomo kaya ambao sio wa kiungwana katika mijadala ndani ya JF. Kama kweli wewe ni Mtanzania penda Tanzania yetu na iache iendelee kwa manufaa ya Watanzania. Usije ukawa mamluki wa kutuvurugia Tanzania yetu wewe!
 
Binafsi mpaka sasa uelewa nilionao juu ya serikali yetu juu ya mambo mengine likiwemo suala la MCHAKATO WA KATIBA MPYA MPAKA KUFIKIA HATUA YA UPIGAJI KURA ni kuwa serikali hii ni mchawi wa maendeleo,amani na upendo wa Watanzania.Na ninafuraha kuiita hata SERIKALI UKOMA.

Serikali kwa makusudi mmeuharibu mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya ya Watanzania wote na mnakuja kuwapumbaza watanzania kwa kuipambapamba kuwa inawafaa kumbe ni uharo mtupu na dhambi hii mtalipwa hapahapa duniani,

lakini mnaona haitoshi mnaamua kutumia mabilioni ya shilingi kuhonga wananchi na kuwapa vitisho mkiwarubuni waipigie kura ya NDIYO na mnatamba lazima ipite,

binafsi nafikiri makundi mbalimbali yangeruhusiwa kusambaza hii elimu ya uraia kwa raia ili wafanye maamuzi yenye manufaa kwao na kuliko kuwazuia elimu dhidi ya kura ya HAPANA kama vp msiweke kura.

Ila nawambieni tupo kupambani nanyi kila eneo na kila idara. CCM=Carlpeters,SERIKALI=Mangungo wa Msovero, Mwisho nasema "MBUMBUMBU ANA STAREHE KWENYE NCHI YA MAFISADI"


Hivi kweli ndugu yangu unazo timamu na ni mtanzania au umetumwa na watu fulani,nadhani unahitaji msaada wa kiroho na kimwili huwezi kutoa maneno machafu kiasi hicho,hata kinywa chako nadhani unahitaji kumwona daktari wa kinywa,hebu jitafakari kwanza kabla ya kuleta hoja hapa JF kwani watu wanashindana kwa hoja na sio maneno machafu tena machafu kama unayotoa wewe.

Elewa kuwa watanzania wanaupeo wa kupambanua mambo ndio maana mchakato wa katiba pendekezwa umefika hapo ulipo kwa ridhaa ya wananchi wenyewe wa Tanzania,nadhani ww ni mamluki toka nchi jirani, tuachie nchi yetu tafadhali hatujazoea lugha zisizo na staha.

Katiba pendekezwa imeandaliwa kwa kuwashirikisha wananchi toka hatua za awali hadi sasa tunapofanya mchakato wa kuelekea kura ya maoni.Tafadhali tuachie nchi yetu,rudi huko ulikotoka ewe pepo mbaya unayetaka kutupotosha watanzania kwa lugha chafu na maneno ya kejeli yasiyo na staha.
 
[FONT=&]Kuhusu suala mchakato wa Katiba Inayopendekezwa ACHA NA KOMA KABISA KUTUMIA NENO ¡°mchawi¡± Mchawi wa mtu ni mtu mwenyewe. Maneno yako ni mchawi wako. [/FONT][FONT=&]Mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya ya Watanzania haujaharibika, taratibu zake zipo kisheria na bado zipo kihalali na zinazingatiwa. Usidharau juhudi ya Watanzania na hatua iliyofikiwa kwenye mchakato wa Katiba. Una maneno machafu yasiyo na msingi na wala hujatumia busara katika kuandikia wasomaji wako. Jiheshimu nawe utaheshimiwa.[/FONT] [FONT=&]


Kazi yako ya kupambana ibaki kwako na upambane mwenyewe na nafsi yako. Acha kuwa na tabia ya kichochezi na mdomo wa kidomo kaya ambao sio wa kiungwana katika mijadala ndani ya JF. Kama kweli wewe ni Mtanzania penda Tanzania yetu na iache iendelee kwa manufaa ya Watanzania. Usije ukawa mamluki wa kutuvurugia Tanzania yetu wewe![/FONT]

Iii amakweli wanawake mkiwezeshwa mnaweza du!
 
Binafsi mpaka sasa uelewa nilionao juu ya serikali yetu juu ya mambo mengine likiwemo suala la MCHAKATO WA KATIBA MPYA MPAKA KUFIKIA HATUA YA UPIGAJI KURA ni kuwa serikali hii ni mchawi wa maendeleo,amani na upendo wa Watanzania.Na ninafuraha kuiita hata SERIKALI UKOMA.

Serikali kwa makusudi mmeuharibu mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya ya Watanzania wote na mnakuja kuwapumbaza watanzania kwa kuipambapamba kuwa inawafaa kumbe ni uharo mtupu na dhambi hii mtalipwa hapahapa duniani,

lakini mnaona haitoshi mnaamua kutumia mabilioni ya shilingi kuhonga wananchi na kuwapa vitisho mkiwarubuni waipigie kura ya NDIYO na mnatamba lazima ipite,

binafsi nafikiri makundi mbalimbali yangeruhusiwa kusambaza hii elimu ya uraia kwa raia ili wafanye maamuzi yenye manufaa kwao na kuliko kuwazuia elimu dhidi ya kura ya HAPANA kama vp msiweke kura.

Ila nawambieni tupo kupambani nanyi kila eneo na kila idara. CCM=Carlpeters,SERIKALI=Mangungo wa Msovero, Mwisho nasema "MBUMBUMBU ANA STAREHE KWENYE NCHI YA MAFISADI"



Pole ole sana naona wakati mchakato huu wa KAtiba mpya UNAWAZA hukuwepo nchini,Kama HUIJUI Hatua zilizopitiwa KAA kimya NDIO ustaarabu.
 
Back
Top Bottom