TAFAKARI MPYA : Ali kiba ni mwanamziki Daimondi ni msanii

Huyu jamaa humu huwa anapondwa sana na inaonekana wengi hawamkubali ila kinachonishangaza thread nyingi zinaanzishwa kumhusu sijajua kwa nini..kwanini anaongelewa sana kama hawezi ..
Nyota ya Mamvi inamuandama
 
Kweli kabisa, jamaa ni mwanamziki
 
Huyu jamaa humu huwa anapondwa sana na inaonekana wengi hawamkubali ila kinachonishangaza thread nyingi zinaanzishwa kumhusu sijajua kwa nini..kwanini anaongelewa sana kama hawezi ..
Kwa sababu ni mti wenye matunda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…