PJ inawekekana Kikwete Hamnazo ama waliomzunguka! Nashawishika angechanganya na zakwake hali isingekuwa mbaya! Nashawishika yeye na waliokaribu naye ni hamnazo!
Hivi hawa wanaccm inakuwaje wanamuachia mtu ambae sio muasisi wa chama kuweza kukiharibu kufikia hatua ya kuweza kutukanwa hadharani namna hiyo!! Uko wapi ushujaa wa wazee wakina Mtandika na Rajab Diwani ambao waliweza kumchallenge mwalimu pale ambapo waliona alikuwa anapindisha mambo? Kikwete anakaidi bila woga ushauri wa wazee kuwa Makamba hafai kwani anakipeleka chama matopeni hivyo angefaa kutoswa; lakini wapi hasikii na ndio anazidi kumkumbatia!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.