Tafakari ya 2010


point taken tall ngoja tumsubirie mwenye bahati mwingine
 
JEMA: nilivunja uchumba uliokuwa hauna mwelekeo

BAYA: nilichelewa mchakato muhimu sana katika maisha yangu kutokana na kuwa nje ya nchi

JEMA: Mkuu wenzio wanatafuta wachumba japo wa kuchonga wewe unavunja?.....anyway kupanga ni kuchagua.HONGERA.
BAYA:USIJALI HUENDA MUNGU HAKUPANGA UWEPO KWENYE HUO MCHAKATO.
 
dah demu alipewa simu akaongea na akina prof jizee na wengine akaona kaula
kamegwa afu akapigwa chini
ukienda kumpima ukakuta yupo fit,waweza kumsamehe................hadanganywi tena huyo.hata aje mwanamuziki toka usa.
 
ukienda kumpima ukakuta yupo fit,waweza kumsamehe................hadanganywi tena huyo.hata aje mwanamuziki toka usa.

kaka zambi hii tu! ndo inayoruhusiwa kumtaliki mkeo sasa mi nirudi tena?
 
kwani sisi ni wabaya????? ukitaka kujua sisi ni wema muulize tu jamaa yako KAMA NI MWEMA AU MBAYA JIBU UTALIPATA.

Sijasema wote bwana....ye najua ni mwema!!!
 
sijui na mimi niliungurumishe li thread la kutafuta?
1.POA TU MKUU ILA,mmmmmh wajanja wengi hapa mkuu. Unawezakuwa unaongea na demu kuja kukutana KUMBE DUME mwenzio
2.Yaani hapa,papo papo tu na mmmh mkuu nina mwaka sijakutana na mwana JF yeyote,,any way sijatafuta.
3.Mpenzi ANAWEZA Kupatikana popote asikudanganye mtu mkuu. ila kwa hapa MMMMMMH
KUWA MWANGALIFU.........USIJESEMA SIKUKUAMBIA.

OTHERWISE
ANZISHA THREAD...........KWA MFANO
1.WENYE NIA YA KWELI WATAKUJA.
2.MASHOGA WATAKUANDIKIA(MFANO SIJASEMA KUNA MASHOGA HAPA).
3.WASANII ILI WAKUJUE TU NAO WATAKUANDIKIA
KWA HIYO MKUU UAMUZI NI WAKO UWE MWANGALIFU SANA.
NAKUTAKIA MSAKO MWEMA.
 
kaka zambi hii tu! ndo inayoruhusiwa kumtaliki mkeo sasa mi nirudi tena?
ooooh???? kumbe alikuwa mkeo??POLE SANA. imeandikwa kwenye vitabu vya dini kuwa ni kifo au zinaa ndizo husababisha talaka. Kwa hiyo kama unaushahidi wa kutosha.conret evidence kuwa ALIMEGWA. SIO USHAHIDI WA MAZINGIRA. NASEMA USHAHIDI WA KUTOSHA.
BASI WAWEZA MWACHA. HAPO HATA MUNGU YU PAMOJA NAWE LAKINI MAMBO YA KUHISIHISI...HUYO NI WAKO HADI UMKUTE RED HANDED AU AKIRI MWENYEWE ALIMEGWA.
 

hakuwa mke braza shortie tu wa kitaa
kuhusu kumegwa haikuwa na utata mmegaji mwenyewe ndo alinithibitishia
 
The proper behavior all through the holiday season is to be drunk with Serengeti! This drunkenness culminates on New Year's Eve, when you get so drunk you kiss the person you're dating, oh sorry, married to.
 
hakuwa mke braza shortie tu wa kitaa
kuhusu kumegwa haikuwa na utata mmegaji mwenyewe ndo alinithibitishia
na baada ya mmegaji kukiri uliimuuliza mmegwa nae alikubali? isije ikawa jamaa anakuharibia tu,hajaonja wala nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…