Shayu
Platinum Member
- May 24, 2011
- 608
- 1,655
Hoja yangu ni kwamba sikatai mfumo wa serikali tatu ikiwa mazingira yanaruhusu. Tatizo ambalo tunalokabiliana nalo ambalo litafanya mfumo wa serikali tatu au shirikisho kuwa mgumu kufanyika ni udogo wa zanzibar.
Ili kufanya mfumo wa serikali tatu ufanye kazi ni lazima tutafute equilibrium. Balance ya hizo serikali tatu.
Kwasababu bila kupata equilibrium hii, Serikali hizi tatu hazitofanya kazi. Ni muhimu uwepo wa order na harmony Katika mfumo.
Tunataka kuanzisha mamlaka tatu hapa. Mamlaka ya Tanganyika. Mamlaka ya zanzibar na Mamlaka ya shirikisho. Hii ina maana tunataka Kumuibua Tanganyika awe kama seperate entity na mamlaka ya shirikisho iwe mamlaka ya kati ambayo inapata mamlaka yake kutoka pande mbili za muungano.
kwa udogo wa zanzibar mamlaka ya shirikisho haitapata equal power kutoka Both part za muungano. Influence ya Tanganyika ni kubwa kuliko ile ya zanzibar na ni lazima ita Collide tu na ile ya serikali ya shirikisho.
Matokeo ya hii kitu ni muungano kuvunjika na strifes na disorder kuingia katika nchi. - Ili serikali ya shirikisho ifanye kazi na kuwe na balance ni lazima ipate nguvu sawa Kutoka katika kila upande.
Jambo hili haliwezekani kutokana na udogo wa zanzibar. Serikali ya shirikisho haitaweza kufanya kazi tukiiibua tanganyika. Jambo litakalo tokea ni ku colapse kwa muungano.
Huwezi kuwa na maraisi wawili wanaochaguliwa wa Tanganyika na wa shrikisho muungano ukabaki kutakuwa na collision of the power. Ni muhimu kuzingatia hili.
Upande mmoja wenye mamlaka na influence kubwa ni busara kuuacha bila serikali yake. Nawaombeni muungano huu uliopo ubaki hivyo hivyo.
Matatizo ya muungano uliopo tunaweza kuyatatua ndani ya muungano huu huu.
Lakini pili tuna matatizo ya uongozi katika taifa letu ambayo ndio chanzo kikubwa cha haya tunayoyaona sasa hivi. Matatizo ya mfumo sio makubwa kama matatizo ya ubovu wa viongozi.
Ili kufanya mfumo wa serikali tatu ufanye kazi ni lazima tutafute equilibrium. Balance ya hizo serikali tatu.
Kwasababu bila kupata equilibrium hii, Serikali hizi tatu hazitofanya kazi. Ni muhimu uwepo wa order na harmony Katika mfumo.
Tunataka kuanzisha mamlaka tatu hapa. Mamlaka ya Tanganyika. Mamlaka ya zanzibar na Mamlaka ya shirikisho. Hii ina maana tunataka Kumuibua Tanganyika awe kama seperate entity na mamlaka ya shirikisho iwe mamlaka ya kati ambayo inapata mamlaka yake kutoka pande mbili za muungano.
kwa udogo wa zanzibar mamlaka ya shirikisho haitapata equal power kutoka Both part za muungano. Influence ya Tanganyika ni kubwa kuliko ile ya zanzibar na ni lazima ita Collide tu na ile ya serikali ya shirikisho.
Matokeo ya hii kitu ni muungano kuvunjika na strifes na disorder kuingia katika nchi. - Ili serikali ya shirikisho ifanye kazi na kuwe na balance ni lazima ipate nguvu sawa Kutoka katika kila upande.
Jambo hili haliwezekani kutokana na udogo wa zanzibar. Serikali ya shirikisho haitaweza kufanya kazi tukiiibua tanganyika. Jambo litakalo tokea ni ku colapse kwa muungano.
Huwezi kuwa na maraisi wawili wanaochaguliwa wa Tanganyika na wa shrikisho muungano ukabaki kutakuwa na collision of the power. Ni muhimu kuzingatia hili.
Upande mmoja wenye mamlaka na influence kubwa ni busara kuuacha bila serikali yake. Nawaombeni muungano huu uliopo ubaki hivyo hivyo.
Matatizo ya muungano uliopo tunaweza kuyatatua ndani ya muungano huu huu.
Lakini pili tuna matatizo ya uongozi katika taifa letu ambayo ndio chanzo kikubwa cha haya tunayoyaona sasa hivi. Matatizo ya mfumo sio makubwa kama matatizo ya ubovu wa viongozi.