Tafakuri;sababu za kukamatwa kwa ponda hizi hapa

Tafakuri;sababu za kukamatwa kwa ponda hizi hapa

Nicholas

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
25,260
Reaction score
7,204
Hivi dini zinaweza badili uelewa wa watu kiasi hiki?Hadi watu waelewe tofauti na kuelezea vitu vilevile tofauti kiasi hiki?Walioblackmail uhuru wanataka dai kuwa walileta uhuru na wanataka historia yao juu ya uhuru ndio iwe kweli na hakuna mtu ktk wazee anahoji hilo?

Nilimpenda mzee mmoja wa Kirangi kule Kondoa aliyepigana vita ya burma aliniambia kashachoka dini,kwani kaona mengi sana duniani n hapa nyumbani.Alinisimulia umasiki wa Kondoa pamoja na kwmaba mazaoa wanayovuna ni ya mamilioni ila umasikini ni asili, akalalamika sana kuwa Pakistani km haikulamizishwa na baba yao wa taifa Nehru,wangekuwa mbalia sana kiuchumi,sasa wanasingizia India na US,na Israel ndio sababu ya ugaidi wao na umasikini wanaoogelea ndani yake raia wake huku wanajeshi na watawala wakila maisha.
 
Hivi ule uzi wa Mohamed Said, aliouanzisha majuzi upo wapi.
 
Last edited by a moderator:
mohamed said ni muathirika wa ilunganism pamoja na kina ritz.
 
For a long time, people have used God and religion to justify their unjustifibles-by Prof. Salman Rashdie.
 
Ni kawaida kabisa. Sioni ajabu waislamu kuwa chanzo cha vurugu katika kipindi hiki. Walijiandaa kufanya mapinduzi ambayo yalisubiri mzee Mwinyi aondoke madarakani. Vurugu hizi zitaendelea hadi mwanzo wa awamu ya tano. Na mapambano yatazidi ikiwa rais atakuwa mkristu. Na akiwa dhaifu kama dhaifu basi anawezwa yumbishwa. Kwa hiyo waislamu huchanganyikiwa mwisho wa utawala wa mwenzao. Ndio maana hata sasa wana ajenda wa rais ajae atoke zanzibar, ili awe muislamu. Kwa waislamu, uwepo wa rais muislamu kwao ni faraja hata kama hawasaidii lolote. Ndivyo walivyo.
 
kam waislam waliweza ipa TANU na mwalimu nyerere masharti hayo ,bila hivyo wangechelewesha uhuru kwanini sasa leo hii waaminishe watu huu uongo kwa nguvu zote hizi?je upo wapi uadilifu wao?Kwanini wasomi waliachia historia yetu kuandikwa kwa uongo hivi na watu?

Nimewahi uliza sana humu ndani ushujaa wa akina Mkwawa, Kinjekitile,Abushir ulionekana vipi?wakati vita yao haikuwa kwa maslahi ya mwafrika?Abushiri ,mkwawa, na Kinjekitile na jamii ya wayao waliuza watumwa sana na walipigana na wakoloni wenzao ila wakizungu kwa muingiliano wa maslahi tuu.

Tupo katika vuguvugu la uhuru wa pili tayari scenario inarudia ileile .Nyerere aliwashinda kwa brilliancy yake,ingawa kiasi fulani alikubali masharti yao ila kuwalegeza wenye vichw ngumu kabisa .Swali ni kwmaba CDM wataweza,katika kipindi watu wameshapotoshwa sana na propaganda na maslahi binafsi?Watu kaa Zitto wapo determined kufanya kama hawa,akina ponda na CUF wapo tayari kuwa ili ukombozi usipatikane.
 
Tumekuwa tukisikia sana baadhi ya watu wakidai kuwa wanajua historia ya uhuru na mwingine hana haki ya kuongea.Tumesikia makundi ya kiislam yakitaka tuamini kuwa uislam na waislam wanahitajia special position kwa kile kinacholazimishwa tuamini kuwa walipigania uhuru.Pia waislam wamekuwa wepesi sana kulaumi wakristu kuwa walijenga mfumo wa kuwarudisha nyuma baadaya ya uhuru na Nyerere akitajwa kuwa mastermind.Tukisoma kitabu cha histosia ya tanganyika tunaona kuwa uislam kwanza ulikuwa tatizo kwa waislam kusoma enzi za Mkoloni, na Nyerere alikuta waislam wakilalamika kuwa wameachwa Nyuma.Mojawapo ya masharti yaliyotolewa kwa TANU ili wapate kura ya waislam ni kuwapatia waislam miundo mbinu mizuri ya elimu.Hapa pananishawishi kwa nini shule zilitaifishwa.TANU ilikuwa black mailed,na kwa vile haikuwa na hela wala nini Nyerere akachagua njia ya kutaifisha shule za wamisionary.

Inpatikana ktk kitabu hiki:
A History of Africa: African nationalism and the de-colonisation process

ukurasa wa 52.
kwa haraka hii link ya google books:
A History of Africa: African nationalism and the de-colonisation process - Assa Okoth - Google Books

Naomba mod usiifute watu wajadili hoja hapa ,na hao waliobahatika kusikia mafundisho ya akina ponda pekee basi waone upande wa pili wa story.Huu ni mwendelezo wa ushahidi wa kile nisemacho waislam walikuwa kikwazo cha uhuru km walivyo leo kwa CDM, Sensa, na mambo mengine ya ukombozi na maendeleo.Nyerere aliwakuta hivyo na hakuweza wabadilisha.Wataalamu wa mamabo wanaelezea mafanikio ya kielimu kwa jamii nyingi za Tanzania zinaelezeka kwa jinsi walivyoupokea ukristu na tamaduni zao zilvyokuwa na mwamko wa kimaendeleo.Kiswahili chenyewe ,kilitengenezewa maandishi na wataalamu wa Kijerumani.Hapakuwa na mpango madhubuti wa kujua kiswahili kingeandikwa kwa tarakimu gani za kiarabu,romani, chinese au zetu wenyewe.
Simuhitaji Mghana,Mnigirea au Mkenya anielezee historia ya nchi yangu miye!
 
Simuhitaji Mghana,Mnigirea au Mkenya anielezee historia ya nchi yangu miye!

Kwani uliwahi sema unamhitaji Miriam makeba kuimba wimbo bora wa kiswahili wa "Malaika"? Kwani uliwahi sema unawahiataji Google watafriri website yao na machapisho mablimbalia kwa kiswahili?,kwani uliwahi waambia microsoft watafsiri windows na programs nyingine kuja ktk kiswahili? Mbona hujajiandaa kuzikataa kazi zao ?
 
Toka mipovu mpaka ikauke lakini habari ndo hiyo!
 
Hawa watu ni hatari sana kwa mustakabali wa taifa Letu, utawasikia wakilalamika bila hoja ya msingi,
 
Madhara ya radio imaan; mie muislamu, lakini siipendi naona inataka kusababisha kati ya mimi, mke na watoto wangu ambao wao ni wakristo mtafaruku
 
Madhara ya radio imaan; mie muislamu, lakini siipendi naona inataka kusababisha kati ya mimi, mke na watoto wangu ambao wao ni wakristo mtafaruku

NI madhara kila sheikh kusema lolote hata la uongo dhidi ya wengine na watu kuchukuliwa kuwa ni mzaha.Wameafundish watoto wadogo huo uongo ktk madrasa bila kupingwa sasa watoto wamekuwa wakiamini hivyo,bila fikra mbadala na huru.Hata wazai wao walisoma hawajui wapi pa kuwabadili zaidi ya kuwasupport kwa unyonge ili kubaki na amani.
 
-well, hali halisi ndio hiyo...si muda mrefu ataingia mode mwenye uzalendo na hili kundi na kuifta hii thread haraka sana.Sijui ile ya kupanga Jaribio la kupindua Kiongozi anayefuatia baada ya Mwinyi ,lililoratibiwa na marehemu Sheikh Yahaya hata link yake ipo wapi.Sheikh Yahya akiwa na ukaribu sana na Viongozi wakuu wa nchi ambao ni waislam alikuwa akifany akazi ya Kusilimihs nchi kw abidii kubwa sana,Ila Mungu hakumpenda sana kumwacha kabla dr. Slaa hajafa kama walivyopenda.

-Hawa mods wanaowahi na kuzitoa thread nyingine za kawaida kabisa ila zipo very serious kwa issue za kitaifa ni chngamoto kwa JF kitik mchango wake kitaifa.

Kwa waliosoma hawana haja ya kuhofia ikifutwa.Kwani hizo link hazitafutwa ktk sever za Google.
 
sheikh issa ponda amekamatwa na kutiwa kizuizini kwa sababu za uchochezi kama serikali inavyosema,lakini ukweli halisi umebainika;
ni kwamba sheikh ponda amekuwa mstari wa mbele katika kutetea haki na mali za waislam hivyo basi ponda amewaamsha waislam waliokuwa wamenyonywa kwa muda mrefu na mfumo kristo uliopo hapa nchini, kitendo cha kuwaamsha waislam watambue haki zao zimewakera sana wakristo na serikali inayoongozwa na mfumo kristo na kushinikiza kutiwa mbaroni kwa sheikh ponda,swali; hv mtu anapokuelekeza utambue haki zako je utamwita mchochezi kama ni hivyo basi dr. slaa na wapinzani wengine ni wachochezi wakubwa kwasababu wametuzindua watanzani na kufahamu ni jinsi gani mali ya umma inatafunwa na watu wachache,hii leo kila mtanzania anafahamu namna fedha za walipa kodi zinavyofujwa je nae tumwite mchochezi.
serikali kwa kushirikiana na BAKWATA wamekuwa wakiuza mali za waislam kama viwanja na kugawana pesa,juzi tumeshuhudia waislam wakifelishwa maksudi na NECTA na wizara ilikiri na kuishia kuomba radhi,waislam kwa muda sasa wamekuwa hawapewi fulsa sawa ya ajira ukiangalia kwa haraka zaidi ya 78% ya waajiriwa wa serikali ni wakristo, waislam wanaambiwa eti hawana elimu.akijitokeza mtu kuyasema haya anaitwa mchochezi,waislam tumeamka ni muda mrefu tumeishi kwenye inchi yetu kama yatima sasa tunasema enough is enough,imetosha.
wajinga karibuni kwa matusi,welevu karibuni kwa mjadala.AHSANTE
 
You, u, yu.....

U don't study, learn u remain blaiming, complaining CHRISTIANITY......

Shame on you.... Acha madrassa na msome....

hujui " what, who, why, when & how" of totally of you

Mods futa hii Thread.... Plze FUTA...
 
Unajuaje kuwa wafanyakazi 78% ni wakristo? Tupe kigezo ulichotumia
 
pls paste your education profile here, maana mtu aliye na hoja na anajiamini hawezi hitimisha kwa matusi kama ulivyofanya
 
Back
Top Bottom