Tafakuri;sababu za kukamatwa kwa ponda hizi hapa

Jk siku zoote anawashukuru wakristo kwani bila hao asingekuwa Presidaa, kwani elimu aliyo nayo aliipata toka kwa wakristo,
 
Moh'd said ni janga kwa umoja na mshikamano baina ya waislamua na wakristo

Nina wasiwasi na uelewa wako!

Kwa kutofamu alichokiandika Mohamed Said ni janga kwa Mtanzania!!! Unahitaji msaada wa kifikra haraka iwezekanavyo!!

Ukweli always unauma!!
 
Labda wanaikubali Historia feki ya Radio na TV Imaan inayotolewa na vilaza na wachochezi wakubwa! Kwa hakika Redio hii inazidi kudumaza elimu ya wanaoisikiliza na kuiamini!
 
Hivi wewe unadhani unauwezo wa kujua uongo unaofundishwa? Kweli yote unayofundishwa mf Kanisani unadhani kweli? Mf umewahi kuona picha ya Yesu? Je ni kweli alizaliwa tarehe 25/12? Mbona unaamini tena bila hata kuhoji.....

what if sina uwezo wa kuujua uongo ila ninao wa kujua kweli?Siwezi fundishwa kweli halafu isiwe kweli.Yes nimewahi iona,Soma "the Shrine of Turin"


Kwani tar ya kuzaliwa kwake inathibitisha hakuzaliwa?Au hakufanya aliyofanya?Mbona wazee kibao na hata vijana hawajulikani walizaliwa lini.
 
Jamani waacheni wapige makelele,wenye akili tupeleke watoto wetu shule wanaopenda kuandamana waache watoto wao waandamane na redio Imani iendelee mpaka kieleweke nadhani mwisho wa siku watajiona wajinga au werevu kwa kiasi gani.Kwani wanahaki ya kuandamana bila kuvunja sheria na wakivunja sheria wanahaki ya kukamatwa na kufunguliwa kesi.Wakristu pelekani watoto wenu shule na mjenge hospitali na vyuo vingi ili na hawa wenzetu wanaoandamana waje kusoma na kutibiwa wakitoka kuandamana.
Mwenye Macho haambiwi kula!
 
Nilijua tu msingeshindwa kutamani Radio Imaan ifungiwe, siku zote Ukweli unauma. Watu kama ninyi mlio mawakala wa Wayahudi hamkosi kufikiri hayo. Pingeni kwa hoja msikimbilie kuamuru serikali kama mlivyozoea nyinyi na maaskofu wenu
 

sanda ya yesu hapo imeingia vipi?halafu wajua kwa hapa bongo ni wachache sana wanaojua kuhusu hiyo sanda ya yesu.TURIN SHROUD
 
sanda ya yesu hapo imeingia vipi?halafu wajua kwa hapa bongo ni wachache sana wanaojua kuhusu hiyo sanda ya yesu.TURIN SHROUD

watajulia wapi wakati hata vitabu darasani hawasomi,wanasoma maswali na majibu tuu kwa ajili ya kupata marks..mara ya kwanza nilisoma ktk science kabla ya kusoma sehemu nyingine ili kupata views tofauti.Na nimekuwa nikiumia sana nikisoma vitabu vya watoto na kukuta maswali na majibu ya swali la "states of matter",bado wanajibu 3,nasikitika sana jinis wizara inavyosisitiza evolution kama explanation pekee ya origin ya binadamu,wenzetu wanafikiria kuingiza pia fikra za uumbaji.Sasa wameachia walimu wakifudisha evolution huku wakiwaambia wanafunzi ni kwa ajili ya kujibia mitihani.I like African ways of thinking,watu wana dini zao ila wana mila zao,dini wanaziacha nyumba za ibada siku ya tukio na mila zao na mategmeo yao huyaweka kwa miungu wengine ama kwa siri au hadharani.Daktari anayetaka uongozi,kujitibu au hata kinga huchanganya zote za giza na kitaaluma.

Bongo hata wachumi wanashiriki kuua albino ili awe tajiri.Ndio maana sitishiki na kelele za msuguano wa vyeti na awards za kina lipumba.
 
Nilijua tu msingeshindwa kutamani Radio Imaan ifungiwe, siku zote Ukweli unauma. Watu kama ninyi mlio mawakala wa Wayahudi hamkosi kufikiri hayo. Pingeni kwa hoja msikimbilie kuamuru serikali kama mlivyozoea nyinyi na maaskofu wenu

hivi wewe wayahudi waweke wakala wa nini hapa?yaani wewe unasoma habari ya mhusiano ya wayahudi na waislam wa mwanzo unaleta dunia ya leo.Ujifunze soma matukio ya enzi hizo na matukio ya leo.Utakuwa mtumwa wa kuamini kutoamini wengine.Mtakufa miserably.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…