Tafakuri: Ukizaliwa binadamu kwenye hii dunia basi huna bahati, utajiri sio suluhisho la kudumu

Tafakuri: Ukizaliwa binadamu kwenye hii dunia basi huna bahati, utajiri sio suluhisho la kudumu

AlphaMale

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2019
Posts
613
Reaction score
1,416
Ukizaliwa binadamu, ujue mateso, umaskini, njaa, kuumizwa kihisia, magonjwa ndo yanakusubiri.

Ukiwa tajiri kuanzia kuzaliwa hadi kufa kwako basi kama una dhambi, jehanamu ya moto inakusubiri ili uchomeke milele.

Haya mateso tunayopitia hapa duniani naona kama hayana ulazima, kwa sababu kama Mungu ni muweza wa yote na anamiliki vitu vyote na sisi binadamu ni sehemu ndogo sana ya uumbaji wake kuna ulazima gani wa sisi binadamu kuteseka na njaa na umaskini, na magonjwa?
 
Ukizaliwa binadamu, ujue mateso, umaskini, njaa, kuumizwa kihisia, magonjwa ndo yanakusubiri.

Ukiwa tajiri kuanzia kuzaliwa hadi kufa kwako basi kama una dhambi, jehanamu ya moto inakusubiri ili uchomeke milele.

Haya mateso tunayopitia hapa duniani naona kama hayana ulazima, kwa sababu kama Mungu ni muweza wa yote na anamiliki vitu vyote na sisi binadamu ni sehemu ndogo sana ya uumbaji wake kuna ulazima gani wa sisi binadamu kuteseka na njaa na umaskini, na magonjwa?
Mkuu una uhakika umezaliwa?
 
Haya maisha ukiwaza sana unaweza kukufuru 'nasikia kuwa hata malaika wanatamani kuwa binadamu 'kwa ss tumepewa vingi na mungu
20190724_15_16_570.jpeg
 
Back
Top Bottom