Tafakuri ya leo kuhusu herufi

Tafakuri ya leo kuhusu herufi

Mbahili

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
281
Reaction score
525
Nimekaa nimewaza na kuwazua nimeona kuuliza si ujinga; hivi huyu aliyegundua herufi alikuwa anawaza nini?

Mfano:
A tunasema ei, na hapo alianza gundua A alijuaje kuna herufi la 5 E na la 9 I?

Angalau W daliyuuu.... sababu alishagundua d, a, b, l, i hiyo y nina mashaka nayo na u.

Masharti ya kukoment hii post:
1. Kama uliishia darasa la nne usijibu sababu huna idea ya nilichokiandika
2. Kama unasema ze badala ya the usijibu pia
3. Kama ulikuwa unakacha vipindi vya kiingereza haikuhusu
4. Kama ulivalishwa bango la swahili speaker fuata mstari wa kutokoment
4. Pia kama husimami na mama kaa kando
 
Na kuongezea swali la kujiuliza
1. Unga kwanini usingepewa jina lengene hata mchele au sukari nani alitoa hilo jina
 
We itakua mtoto wa mama simama katika uhalisia wazaz wote wawili unapo base upande mmoja ipo siku nawe watoto wako watachagua upande wao usi force watu mfanane kwa fikra zako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"W" kuiita "daliyuuu" sijapenda ungeita hata "dabaliu" basi ningekuelewa. 😒

Hii unatamkwa "dabo`l yu" au tuseme ni "double U"
By the way nilikua nakacha vipindi vya kiingereza 🚬😎
 
Back
Top Bottom