Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Tafiti mpya imeonesha kuwa Virusi vya Corona vilisambaa miezi miwili kabla ya kugundua maambukizi ya kwanza ambayo yaliripotiwa Wuhan.
Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Kenti cha Uingereza wameonesha kuwa maambukizi yalianza Novemba 17, 2019 ambapo Januari 2020 yalisambaa duniani. China iliripoti maambukizi ya kwanza Desemba 2019.
Aidha bado wakosoaji wanailaumu China kwa kutaka kuficha taarifa kuhusu chanzo halisi cha #COVID19
Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Kenti cha Uingereza wameonesha kuwa maambukizi yalianza Novemba 17, 2019 ambapo Januari 2020 yalisambaa duniani. China iliripoti maambukizi ya kwanza Desemba 2019.
Aidha bado wakosoaji wanailaumu China kwa kutaka kuficha taarifa kuhusu chanzo halisi cha #COVID19