Mkuu huko watu walikuwa wanakula dona, ss kl kona ni sembe hulioni hilo muheshimiwa?
Kama sedentary life style ni ile inayohusisha ulaji wa nyama na unywaji wa maziwa ni kweli ndio haswa chanzo kuongezeka unene na kisukari cha type1kuongezeka kwa zaidi ya mara 600 zaidi mzaziwa na nyama ndio haswa tatizo lakini kwa yoyote mwenye allergy ya kitu chochote zimeanzia kwenye unywaji wa maziwa.
Mkuu iArmaniAdamson Sasa kwa mtazamo wako hapa wanga unaelezeaje hii hali?
- Sijui kama maisha ya kujibweteza nayo yanachangia hili tatizo la sukari.
- Au pengine kwa sababu watu wanaishi maisha marefu siku hizi ndio maana haya matatizo yanajitokeza.
Maoni yako, please.
mimi binafsi nimegundua kwamba mwanadamu anakuwa weaker na weaker jinsi miaka inavyoendelea. Binadamu wa sasa sio mgumu kama miaka ya zamani, kwahiyo naweza kukubaliana na swala la genes kuwa dhoofu.kisukari na magonjwa mengine mengi ya sasa yananakisi mabadiliko madogo ya gene zetu bila kusahau kukua kwa uchumi.
wanga unahitajika mwilini lakini kiasi kidogo kinachohitajika kinaweza kupatikana kwenye matunda na mboga za kijani. Ila kiasi hiko ni kidogo na kinatosha kulinganisha kula mkate mweupe, pasta au viazi mviringo ambavyo kusema kweli ni kama kula bakuli zima la sukari.wanga unaweza kutengenezwa na mwili toka bidhaa nyingine zisizo na asili ya wanga, hivyo hauepukiki.
Mkuu iArmaniAdamson nimefuatilia mabandiko yako mengi na ninakukubali kwa hali ya juu sana.
Lakini kwa hili kidogo nimepata utata.
Huko kwetu nitokako watu miaka nenda miaka rudi wamekuwa wakila marundo ya ugali na vipande viduchu vya papa na mboga za majani. Ukienda Usukumani watu wanakula mamilima ya mabugali na kitoweo ni majani na manukuu machache ya nyama. Lakini kwote huko magonjwa ya sukari yalikuwa nadra sana mpaka hizi siku za karibuni.
Sasa kwa mtazamo wako hapa wanga unaelezeaje hii hali?
- Sijui kama maisha ya kujibweteza nayo yanachangia hili tatizo la sukari.
- Au pengine kwa sababu watu wanaishi maisha marefu siku hizi ndio maana haya matatizo yanajitokeza.
Maoni yako, please.
umaskini ni hukumu ya kifo. huo ndio ukweli mgumuukiwa huna hela ya kula mbogamboga na matunda Kama mlo kamili basi unakufa kifukara
hilo ndio tatizo, hata kuacha kula wanga kupindukia utasikia kama umepata homa, mimi mwezi June ndio nimesoma hili na ilikuwa shida kwa wiki mbili, baada ya chakula unasikia kama kuishiwa nguvu maana mwili unakuwa shocked kwamba kiasi cha sukari kimepungua ghafla.kwa maisha ya watanzania wengi hatuwezi kuepuka kula wali,ugali n.k
suala la msingi ni kufanya mazoezi tu hiyo ndo dawa tosha aiseee
sasa hii ni pointless activity, kwanini usiache kula wanga mwingi na kutumia muda wa kukimbia kufanya shughuli nyingine. Ni kama kusema kula sana ukimbie sana, smart people wanapunguza kula ili wasikimbie sana... maana mazoezi pia yanasababisha matatizo mengine kama Arthritis, motor neurone disease etc.Cha umuhimu ni kufanya mazoezi tu basi kuburn excessive carbs etc
ndio mana kupunguza inasaidia zaidi kuliko, balanced life ni balanced diet tosha.kila kitu kina faida na hasara zake
siku hizi watu wanashiba wanakaaa
ndio maana huugua
mwendo mfupi gari
hawatoki jasho
hata chakula cha usiku watu wanashindwa
ni balaaaa
ni kweli, ila ongezeko kubwa liko kwenye group mbili ambazo awali hazikuwa affected.. Maskini ya nchi maskini na matajiri wa Nchi tajiri. kwasababu maisha yanapoinuka kila mahali, kila mtu anakuwa vulnerableKuna familia nyingine kila siku lazima wale ugali(sembe) wakibadisha sana basi ni wali,
kwa nchi za ulaya watu wanaoumwa sana magonjwa kama ya kisukari ni masikini ila kwetu wanaoumwa sana magonjwa hayo ni matajiri kutokana na ulaji mbovu na kutofanya mazoezi hata ya kutembea