Tafrija ya Komredi Kipepe

Binti Maringo

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
2,804
Reaction score
96
Do you all remember ile gazeti la sani with vitimbwi vya komredi kipepe??
 

Attachments

  • kipepe2.jpg
    92.3 KB · Views: 248
Do you all remember ile gazeti la sani with vitimbwi vya komredi kipepe??

Mkuu Kelly01
Umenikumbusha mbali, mimi ni vile vichuchu vya wale wademu wa kipepe duh, vilikuwa vinanivutia kweli. Yaani wale ndo kuku wa kienyeji haswaaaaaaaaa
 
Mkuu Kelly01
Umenikumbusha mbali, mimi ni vile vichuchu vya wale wademu wa kipepe duh, vilikuwa vinanivutia kweli. Yaani wale ndo kuku wa kienyeji haswaaaaaaaaa

Teh Mkuu, mambo ya kula ugali kwa picha ya samaki hayo...., umenifurahisha sana.Hope umenipata!
 
Do you all remember ile gazeti la sani with vitimbwi vya komredi kipepe??

Wakati ule ilikuwa ni dhambi kukosa toleo la sani.
Dr Love (Pimbi) mjuvi wa malovedavi. Nakumbuka komredi kipepe alikuwa mchezaji machachari wa bush stars.
 
Mimi ni lile never ending bifu la Zena na Betina tuu!
 

...........................................Hapo ndipo foramu inapochosha!!!
 
Lol Beef la Zena na Betina lile lilikuwa kiboko kama Donald Trump na Rose O'donnor.

Walikuwa wanampigania shotiii a.k.a Dr. Love, right? hehehhe, dizaini Zena (big mama) ndio alikuwa mamsap, Betina(supamodo) alikuwa kimada, lol !
 
Oops I am not a man i am definetely a senorita my lord.. I know utakuwa umeghafirika siyo mbaya...just to clarify i am a she.

Na wewe Mkuu si lazima awe mwanaume, si ndio usawa?? Never mind sijakasirika wala nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…