ehhh, saa huko mkishamaliza hicho kibarua ujue na matatizo yenu pia yamepata utatuzi, hapo mtaanza kuweka mezani kilichopelekea mgono etc, baada ya 1 hr haaa kila kitu shwari....inabidi wakati mwingine mtu uwe chizi tu sasa utafanyaje?
pole maty...watu tunakuwaga busy mpaka tunatia huruma, umetingisha kibiriti mtu anafanya finishing unahanya, unafanyaje zaii ya kutumia jitihada binafc za kumtega?...lolJamani kuna watoto hapa natamani hili li screen ningelibeba nikajibanze nalo ****** ili nikacheke kwa uhuru lol
Sasa hapa Mbu mkuu angalia Luv Nyamayao na switushka MJ1 wataihamisha hii sredi sasa hivi...au wanataka ban nn>LOL......
haaa Mbu sorry kumbe nimegundua nina mabadiko 5000 tayari
mabibi na mabwana, makofi tafadhali kwa Mwenyekiti! Notwithstanding pumba na mchele lakini habari ndo hiyo
Nyamayao kipenzi, hebu fanya kautaratibu wageni wapate walau soda leo!
:focus::focus:
...sasa inakuwaje iwapo msg haiwi delivered?
HA HA HA!
...sasa inakuwaje iwapo msg haiwi delivered?
...sasa inakuwaje iwapo msg haiwi delivered?
HONGERA MWENYEKITI.......!haaa Mbu sorry kumbe nimegundua nina mabadiko 5000 tayari
mabibi na mabwana, makofi tafadhali kwa Mwenyekiti! Notwithstanding pumba na mchele lakini habari ndo hiyo
Nyamayao kipenzi, hebu fanya kautaratibu wageni wapate walau soda leo!
:focus::focus:
haaa Mbu sorry kumbe nimegundua nina mabadiko 5000 tayari
mabibi na mabwana, makofi tafadhali kwa Mwenyekiti! Notwithstanding pumba na mchele lakini habari ndo hiyo
Nyamayao kipenzi, hebu fanya kautaratibu wageni wapate walau soda leo!
:focus::focus:
...sasa inakuwaje iwapo msg haiwi delivered?
Mdada anacount: Ndio kusema na leo wataka? juzi nimekupa, majuzi nimekupa, jana nimekupa, leo asubuhi nimekupa, mchana umepewa na sasa bado wataka kadi yangu ya Bank?.............
...sasa inakuwaje iwapo msg haiwi delivered?
haaa Mbu sorry kumbe nimegundua nina mabadiko 5000 tayari
mabibi na mabwana, makofi tafadhali kwa Mwenyekiti! Notwithstanding pumba na mchele lakini habari ndo hiyo
Nyamayao kipenzi, hebu fanya kautaratibu wageni wapate walau soda leo!
:focus::focus:
haaa Mbu sorry kumbe nimegundua nina mabadiko 5000 tayari
mabibi na mabwana, makofi tafadhali kwa Mwenyekiti! Notwithstanding pumba na mchele lakini habari ndo hiyo
Nyamayao kipenzi, hebu fanya kautaratibu wageni wapate walau soda leo!
:focus::focus:
dah.. kumbe wiki kubwa eh?Ha ha ha sisy............. ila mwenzetu una bahati maana kwa wengine ukimtikisia kiberiti siku ya kwanza itakula kwako maana waweza'nyimwa' wiki nzima.
congrats luv....wakaribishe tu nipo kwa ajili yao.
........Hongera sana switushka
.............Sawa kaka wont try it at home... ntatafuta uwanja wa mbali kidogo lolMwanajamiiOne darasa umelipenda, dont try that at home bana...he he he!
KAmanda ni kubwa kama umenuniwa na wewe unatamani kusawazisha mambo utaona ka miaka kweli vile!dah.. kumbe wiki kubwa eh?
Nyamayao.......duh umehitimu dada yangu loh hapa machozi yananitoka kwa kucheka. Ehee wajifanya kiuno kimeumia akikosea kukigusa hapo hapo na unatoa dozi kubwa ......lol
......Mbu nshamwambia Mod kabisaaa BAN yangu utakula wewe maana ndo unayesababisha!!!
Hapa sijui ndo wako katika hatua ya mwisho ya mgomo na ya mwanzo ya kuumaliza tatizo sasa nani aanzishe ushirikiano? Hahaha mi ctaki uchokozi jamani!!
c umeona mdada kama ameanza ku smile? bac hapo kaka anahokoza anaacha anachokoza anaacha, sasa mdada temp ipo kiwango cha juu, hataki kuanza anataka alieanza amalizie, huyo kaka nae kazubaa, ikifikia hapo mkaka akijaribu tu kugusa kidogo mambo shwari, au mdada akiona amechokozwa halafu mkaka kakaa dk tano hajaendelea na uchokozi nae anamuhitaji ndio zile unanyanyuka kwenda toilet bac c unampitia kwa juu? hapo hapo unajifanya kama umeshuka kitandani vibaya...bac atakudaka....endelea na filamu hapo.