Tafsiri ya ndoto kuota upo shule

Breadboard

Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
72
Reaction score
136
Wakuu nisaidie mara kwa mara nimekuwa nikiota NDOTO za kuwa nipo shule au wakati mwingne nafanya mtihani na kuishia njian ilihali nimemaliza tokea mwaka jana.

Kuanzia juzi jana na Leo nimeota zaidi ya mara tatu sasa inanipa msongo wa mawazo

Naomba nisaidie suluhisho na namna ya kulitatua hili tatizo nipo na mawazo.
 
Kuna mwenzako humu jukwaani na yeye alikua anaota hvo, leo ametoa mrejesho kua tangu aote hvyo mambo yake yote yanaenda mrama, moja haikai wala mbili haisimami.
Kwa kiebrania tunakwambia, anza kukaa kwa step
 
Unaotavumefaulu au umefeli!?Tuanzie hapo kwanza
 
Ngoja waje tujifunze 😔
 
Shule ni mfuko wa kubuni. Ndoto ni mfumo wa kibailojia. Unaamini vipi mfumo wa kubuni kichwani kwako ? Zisingekuwepo shule ungeota upo unavuka mto, unakula, unacheza ngoma nk, ungetafsiri vipi ? Mnaota vitu vinavyowazunguka. Wachina na wazungu wanamiliki maroboti hivyo wataota wanavyowasiliana na robot.
Acheni kupagawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…