Tafsiri ya ndoto niliyoota leo

Tafsiri ya ndoto niliyoota leo

bongo dili

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2015
Posts
12,350
Reaction score
25,180
Tumsifu Yesu Kristo taifa la Mungu,Bwana Yesu asifiwe wapendwa, ndugu zangu upande wa pili ktk Imani Amani ya Mungu iwe nanyi.

Ilikua mnamo saa Tisa usiku wa Leo niliamka ili niweke simu chaji na pia ni kawaida yangu kukagua mazingira nione Kama Pana ugeni wowote nje toka kwa mawakala wa yule muovu yaani wazee wa usiku yaani wachawi na vibaka.

Nikakuta hali shwari,nikaweka simu chaji kuangalia juu ya dirisha namuona mjusi katulia nikaachana nae nikasema anajitafutia riziki,nikavuta shuka nikalala.

Saa kumi nikaamka nikaona bado yupo pale pale mjusi huyo nikasema Wacha niendee jikoni nikachukue mfagio ili nimuondoe.

Baada ya kutoka jikoni na mfagio kurudi sijamkuta,nikasema atakuwa antenna huyo angekuwa wa kawaida angeendelea kuwepo dirishani.

Nikapiga fire 🔥 ya kutosha yaani nikatuma mishale ya moto wa damu ya Yesu tilioni moja kuelekea mashambulizi ilipo radar Yao kwenye mitambo Yao nikaichoma na kuitekeza na kuzisambaratisha ng'ome zao zote popote kupitia ilipo antenna hadi ilipotoka katika roho. Kisha nikalala.

Nikiwa katika Roho nikaota nipo kwa jirani ambaye asubuhi tutakuwa na sala za jumuiya kwa juu Pana jirani yetu alikuwa amekata mti wa mkorosho so panakawa na kenta ya tani hizi ndogo imekuja kusomba hizo Kuni.
Baada ya kuzisomba nikawa nimekaa juu ya Kuni tunaondoka gari kufika kiinuko kidogo ikashindwa kupanda ikawa inarudi nyuma.

Kurudi nyuma, tairi ya nyuma mkono wa kushoto gari ikawa inataka itumbukie shimoni mkono wa kushoto kuchungulia Hilo shimo ni refu lenye Giza nikaona Msalaba kisha gari hakufaulu kutumbukia mtoni ikarudi ikaaa sawa nikashuka nikawa nimeamka.

Nikamshukuru Mungu kwa ulinzi wa usiku na familia nikapiga fire 🔥juu ya ndoto hio nikasindikizia na mishale ya moto yenye damu ya Yesu bilioni 600 ielekee hukohuko walipo adui.

Nakuja tafsiri ya ndoto hio.
 
Maana ya ndoto hii ni tafsiri ya kweli ya maisha halisi ya usiku wa Leo.
Ni kweli hakuwa mjusi angekuwa mjusi hasingepotea baada ya Mimi kufuata ufagio ili nimuondoe dirishani,maana mjusi wa kawaida Hana utambuzi au muunganiko na hisia za mwanadamu ili kujua dhamira yako.
So ilikua ni real spiritual battle Hawa wapumbavu nimewapelekea moto sana usiku wa Leo wakakusanyanya.

Maana ya ndoto hii baada ya kuwapeleka moto walikusanyana wakanibeba ili wanipeleke kwenye ng'ome Yao yaani kuzimu ndo maana ya lile shimo then ule msalaba niliouona shimoni maana yake ni nguvu ya Yale maombi yangu yaani ule moto niliowapelekea msalaba means Yesu Kristo.
Kuni umaanisha kundi la wachawi,
Msalaba unamaanisha ushindi dhidi ya nguvu za Giza.
Gari ile kenta ilikua ni ungo wao yaani wamekubeba mateka nilipochungulia shimoni nikamuona Yesu.
Shimo lenye Giza maana yake ni kuzimu au ng'ome za wachawi au mazizi Yao wanapowekea watu wao baada ya kuwateka kiroho wakishakukamata kiroho ndio wanakuua kimwli kupitia vitu Kama ajali,kujiua,nk
 
Nimekuwa na spiritual battle na Hawa wapumbavu naona kitambo hawajanitembelea Hawa Leo wameniibukia nimewashinda wachawi ni watu wapumbavu sana Huwa hawakati tamaa najua watarudi Tena nitawatandika Tena na Tena kwa damu ya Yesu hadi wakae sema.
Ningekuwa fala nisingekuwa natype Tena humu jf ningekuwa kwenye mazizi Yao.
Nimekuwa nikihisi hali isiyo ya kawaida nikapigwa tukio kwenye uchumi lakini nawashinda hali inakaa sawa.
 
Maana ya ndoto hii ni tafsiri ya kweli ya maisha halisi ya usiku wa Leo.
Ni kweli hakuwa mjusi angekuwa mjusi hasingepotea baada ya Mimi kufuata ufagio ili nimuondoe dirishani,maana mjusi wa kawaida Hana utambuzi au muunganiko na hisia za mwanadamu ili kujua dhamira yako.
So ilikua ni real spiritual battle Hawa wapumbavu nimewapelekea moto sana usiku wa Leo wakakusanyanya.

Maana ya ndoto hii baada ya kuwapeleka moto walikusanyana wakanibeba ili wanipeleke kwenye ng'ome Yao yaani kuzimu ndo maana ya lile shimo then ule msalaba niliouona shimoni maana yake ni nguvu ya Yale maombi yangu yaani ule moto niliowapelekea msalaba means Yesu Kristo.
Kuni umaanisha kundi la wachawi,
Msalaba unamaanisha ushindi dhidi ya nguvu za Giza.
Gari ile kenta ilikua ni ungo wao yaani wamekubeba mateka nilipochungulia shimoni nikamuona Yesu.
Shimo lenye Giza maana yake ni kuzimu au ng'ome za wachawi au mazizi Yao wanapowekea watu wao baada ya kuwateka kiroho wakishakukamata kiroho ndio wanakuua kimwli kupitia vitu Kama ajali,kujiua,nk
Hii si tafsiri ya ndoto bali ni ndogo nyingine (day dreaming)
 
Yaani mjusi tu anakutoa roho.

Mengine mnamsumbua tu Bwana.
 
Kwangu wachawi sijui majini ni sawa na mende kunguni viroboto takataka,huwa nashangaa Sana Mkristo au Muislamu eti anawaogopa wachawi sijui majini,nk.
Mchawi ukikutana nae ktk ulimwengu wa roho usimuache aishi hakikisha arudi salama ua kabisa piga mishale bilioni 900 yenye damu ya Yesu sambaratisha kabisa,hata maandiko yanasema usimuache mtu mchawi aishi,japo tunataka wachawi waokoke waache njia zao mbaya wamrejee Mungu yaani watu wamelala usiku wap wapo bize kwa kazi isiyo na mshahara?
 
Yaani mjusi tu anakutoa roho.

Mengine mnamsumbua tu Bwana.
Hizi elimu ndogo Sana kwenu nyie atheist, Connect mjusi na ulichokiota.Kuna mjusi na Kuna antenna ishia hapo hapo
 
Hao wachawi mbona wanawatembelea nyinyi tu? Natamani wanitembelee niwatandike na chupa za Konyagi
 
Maana ya ndoto hii ni tafsiri ya kweli ya maisha halisi ya usiku wa Leo.
Ni kweli hakuwa mjusi angekuwa mjusi hasingepotea baada ya Mimi kufuata ufagio ili nimuondoe dirishani,maana mjusi wa kawaida Hana utambuzi au muunganiko na hisia za mwanadamu ili kujua dhamira yako.
So ilikua ni real spiritual battle Hawa wapumbavu nimewapelekea moto sana usiku wa Leo wakakusanyanya.

Maana ya ndoto hii baada ya kuwapeleka moto walikusanyana wakanibeba ili wanipeleke kwenye ng'ome Yao yaani kuzimu ndo maana ya lile shimo then ule msalaba niliouona shimoni maana yake ni nguvu ya Yale maombi yangu yaani ule moto niliowapelekea msalaba means Yesu Kristo.
Kuni umaanisha kundi la wachawi,
Msalaba unamaanisha ushindi dhidi ya nguvu za Giza.
Gari ile kenta ilikua ni ungo wao yaani wamekubeba mateka nilipochungulia shimoni nikamuona Yesu.
Shimo lenye Giza maana yake ni kuzimu au ng'ome za wachawi au mazizi Yao wanapowekea watu wao baada ya kuwateka kiroho wakishakukamata kiroho ndio wanakuua kimwli kupitia vitu Kama ajali,kujiua,nk
Mkuu! Tafsiri bado imepwaya! Kwanza hao (wachawi) wamefanikiwa kukutumikisha kubeba kuni kujaza kenta. Walikuwa wamekupakiza kwenda kuzishusha! Una nguvu kidogo iliyokuwezesha kuona kinachoendelea na kuamua kushinda usipelekwe zinakoenda kizishusha! Ongeza juhudi pale unapopatia nguvu za rohoni! Maombi tu bila connection ya madhabau ya kuchochea nguvu ni kama fen inayokupuliza ndani ya chumba kilichofungwa madirisha na mlango!
 
Mkuu! Tafsiri bado imepwaya! Kwanza hao (wachawi) wamefanikiwa kukutumikisha kubeba kuni kujaza kenta. Walikuwa wamekupakiza kwenda kuzishusha! Una nguvu kidogo iliyokuwezesha kuona kinachoendelea na kuamua kushinda usipelekwe zinakoenda kizishusha! Ongeza juhudi pale unapopatia nguvu za rohoni! Maombi tu bila connection ya madhabau ya kuchochea nguvu ni kama fen inayokupuliza ndani ya chumba kilichofungwa madirisha na mlango!
Sikubebeshwa kuni Wala kupakia Kuni bali nilikaa juu ya Kuni.
Tafsiri ya Kuni ni kundi la wachawi.
Kuni umaanisha wachawi.Yaani zile Kuni ndio kundi la wachawi
 
Back
Top Bottom