Wa Tanzania wengi hawana "critical thinkers" katika almost kila sekita wanafanya vitu ambavyo ni abvious sana.Kulikuwa na ubaya gani kama tungetohoa neno drone la kiingereza liwe droni kwenye kiswahili?
Hii kuiita ndegenyuki ni direct translation ya kijinga.
Mbona wale nyuki wanaoitwa drones kwa kiingereza wanaitwa nyuki tu kwa kiswahili? Sasa hii ndegenyuki inatokea wapi?
Baraza la kiswahili linaongozwa na wapumbavu...Kulikuwa na ubaya gani kama tungetohoa neno drone la kiingereza liwe droni kwenye kiswahili?
Hii kuiita ndegenyuki ni direct translation ya kijinga.
Mbona wale nyuki wanaoitwa drones kwa kiingereza wanaitwa nyuki tu kwa kiswahili? Sasa hii ndegenyuki inatokea wapi?
Basi kama wanapenda direct translation, bora wangeandika NDEGENYUKIJIKE. Hawa BAKITA wana akili za ovyo sana.Kulikuwa na ubaya gani kama tungetohoa neno drone la kiingereza liwe droni kwenye kiswahili?
Hii kuiita ndegenyuki ni direct translation ya kijinga.
Mbona wale nyuki wanaoitwa drones kwa kiingereza wanaitwa nyuki tu kwa kiswahili? Sasa hii ndegenyuki inatokea wapi?
Ndio. Anavyo. Wewe huoni alivyotohoa vizuri hoja yake?Una vigezo vya kuwa BAKITA?