Tafsiri ya uchumi mdogo wa kati Tanzania: Kwa sasa Mtanzania kwa mwezi ana kipato cha shilingi 206,000/- kwa mwezi sawa na shilingi 6,900 kwa siku

Tafsiri ya uchumi mdogo wa kati Tanzania: Kwa sasa Mtanzania kwa mwezi ana kipato cha shilingi 206,000/- kwa mwezi sawa na shilingi 6,900 kwa siku

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
Tanzania kuorodheshwa kati ya nchi zenye kipato kidogo cha kati kwa kutumia taarifa za mwaka 2019 ni kuonyesha kuwa kipato cha Mtanzania kimekuwa kati ya dola 1,036 hadi dola 3,045 kwa mwaka kutokana na ripoti ya uchumi wa nchi kwa mwaka 2019.

Hii inamaana kuwa sasa mtanzania ana uwezo wa kupata kiasi cha shilingi 7000 na kuendelea kwa siku.

Swali bado linakuja je ni kweli kipato hicho kipo kwa watanzania wanyonge?
 
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji144][emoji144][emoji144]
 
Kwa tanzania mzunguko wa pesa unaanzia kwa wafanyakazi wa uma ndiyo maana hata mkulima anategemea kuuza mazao yake zaidi mwisho wa mwezi
 
Yaani wananiboa.

Who wakisema tuna wagonjwa wa corona wapo wengi wanafurahi sana.

Who wakisema hakuna corona watapinga sana..... pathetic...unapoiombea mabaya nchi yako ambayo wewe na familia yako mnaishi.
 
Tanzania kuorodheshwa kati ya nchi zenye kipato kidogo cha kati kwa kutumia taarifa za mwaka 2019 ni kuonyesha kuwa kipato cha Mtanzania kimekuwa kati ya dola 1,036 hadi dola 3,045 kwa mwaka kutokana na ripoti ya uchumi wa nchi kwa mwaka 2019.

Hii inamaana kuwa sasa mtanzania ana uwezo wa kupata kiasi cha shilingi 7000 na kuendelea kwa siku.

Swali bado linakuja je ni kweli kipato hicho kipo kwa watanzania wanyonge?
Wametafuta wastani wa utajiri wa Makonda amebeba maskini wangapi, vichekesho sn.
 
Asilimia kubwa ya watz hatujui ladha ya huo uchumi wa kati.

Mambo sio mambo
 
Tanzania kuorodheshwa kati ya nchi zenye kipato kidogo cha kati kwa kutumia taarifa za mwaka 2019 ni kuonyesha kuwa kipato cha Mtanzania kimekuwa kati ya dola 1,036 hadi dola 3,045 kwa mwaka kutokana na ripoti ya uchumi wa nchi kwa mwaka 2019.

Hii inamaana kuwa sasa mtanzania ana uwezo wa kupata kiasi cha shilingi 7000 na kuendelea kwa siku.

Swali bado linakuja je ni kweli kipato hicho kipo kwa watanzania wanyonge?
No, na World Bank ni wapuuzi kumbe!
 
Ni kweli kila siku wewe unapata shilingi 6,900/ ?
 
Ni kweli, maana vibarua wengi mf wachanganya zege, wachimba mchaga vipato vyao ni kati ya 8000-12000. Lakini kwa vijijini sana ni zaidi kwani hupata mazao kwa wingi, huwezi sema mtu anamiliki ng'ombe zaidi ya 200 ni maskini. Au anashamba hekali 100 eti nae ni maskini.
FB_IMG_1591523829907.jpeg
 
Back
Top Bottom