1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Mwanamke akuzwi..aki kuzwa sio kwa gharama zakoView attachment 1145397
Hayana formula mkuu;
Hahaha unajua wanaume huwa tunafanya mambo kwa influence. shauri yako!! kuanzisha hizi kauli mbiu utakuja kurogwa, paka leo bado anatafutwa aliyeanzisha kauli mbiu ya chura.nichague umri wa miaka kati ya 16-24.
Nikikosa kabisa basi angalau asizidi miaka 26.
Kuanzia miaka 27 na kuendelea hapo ni majanga,, Asilimia kubwa wana majeraha ya maumivu ya mapenzi,, anakuwa kapitia relation zaidi ya moja.
HII NI KAULI KUTOKA KWA "KE"
[emoji3][emoji3][emoji3]
Be realynawewe binti yako kuna mapopo wanamvizia wamukuze
Ulishawowa mkuu ?nichague umri wa miaka kati ya 16-24.
Nikikosa kabisa basi angalau asizidi miaka 26.
Kuanzia miaka 27 na kuendelea hapo ni majanga,, Asilimia kubwa wana majeraha ya maumivu ya mapenzi,, anakuwa kapitia relation zaidi ya moja.
HII NI KAULI KUTOKA KWA "KE"
[emoji3][emoji3][emoji3]
yah am also realBe realy
[emoji28][emoji28]yah am also real
Technically ni ubakaji lakin mazingira ya kawaida yanakataa maana hata binti hakufungua kesi kwani aliona atajiaibisha zaidi kwenye jamii kaishia kuhama mazingira.Huo ubakaji