"Tafuta binti mbichi umkuze alafu umuoe achana na hao waliokomaa"

Aiseeeh, inasikitisha sanaaa
 
Hahaha unajua wanaume huwa tunafanya mambo kwa influence. shauri yako!! kuanzisha hizi kauli mbiu utakuja kurogwa, paka leo bado anatafutwa aliyeanzisha kauli mbiu ya chura.
Hahahah
 
Naunga mkono hoja, ila ushauri wa bure; andaa wasichana kama wawili au watatu hivi asiwe mmoja. Huwa majanga ya atokea, so akizingua mmoja bado una wawili wa kuchagua mmoja bora zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…