Una uhakika huo ufalme upo? TAFUTA HELAMimi natafuta kwanza Ufalme wa mbinguni, mali na fedha nitazidishiwa tu.
Muhimu:
1. Chakula
2. Makazi
3. Mavazi
Una uhakika huo ufalme upo? TAFUTA HELA
Hili la Maharagwe kuivishwa kwa Gesi sijakubali mkuu, hata MO hathubutu..[emoji38]Tafuta hela uache kulala na mtungi wa gesi Kama upo ICU
Tafuta hela hata maarage yanapikwa kwa gesi
Tafuta hela uache kununua nguo kwa kuinama
Tafuta hela wewe hakuna mwanamke anaechoka usiku
Tafuta hela uache kusema weka chips za kushiba
Tafuta hela hauna ndugu wachache.
Tafuta hela uache kujitambulisha Sana...
Tafuta hela kuku Ana vipande viwili
Tafuta hela v8 sio gari za serikali
Tafuta hela weekend sio siku ya kufua
WENGINE WAENDELEE tuwasaidie vijana..
Unaivisha tu mkuu.Hili la Maharagwe kuivishwa kwa Gesi sijakubali mkuu, hata MO hathubutu..[emoji38]
Yaani dk ishirini gesi inawaka tuUnaivisha tu mkuu.
Ngoja nikupe technic. Chambua maharage yaloweke masaa 2. Kisha washa gesi yako moto mdogo bandika maharage yako ndani ya dk 20 yatakuwa tayari
Mkuu I awake yanaiva na hakuna gharama weka moto mdogo mno kuruhusu uivaji wa haraka. Sasa ukiogopa gas je umeme utapikia kweli mkuuYaani dk ishirini gesi inawaka tu
Umeme wenyewe sina mkuu, hiyo gesi mimi nachemshia chai tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu I awake yanaiva na hakuna gharama weka moto mdogo mno kuruhusu uivaji wa haraka. Sasa ukiogopa gas je umeme utapikia kweli mkuu
Poa mkuuUmeme wenyewe sina mkuu, hiyo gesi mimi nachemshia chai tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bila shida mkuuYaani dk ishirini gesi inawaka tu