Tafuta mke ukiwa katika mazingira magumu

Tafuta mke ukiwa katika mazingira magumu

Nani atakubali kuolewa bila kujua uhakika wa maisha mazuri? Wazazi wenyewe ni kikwazo kutoa binti yao aolewe na asiye na kitu
Kuna jamaa alipata ajali.....alilazwa hospitali....Kuna nesi alimhudumia vizuri...hata siku akiwa off humletea chochote.....kwa kifupi jamaa alikuja kumuoa yule nesi....Leo hii wanawajukuu.....ndoa ipo barabara.
 
nilifanya jaribio la kuoa nikatuma mshenga akaeleze muoji hana kazi ya kipato cha kueleweka, amepanga chumba, hana kitanda na godoro analalia maboksi chini, maisha yake hayana msisimko wa mali, ana miaka sitini. Binti alikubali akasema huyo ndio mzuri tutaanza naye maisha chini na tutafanikiwa. Binti alikuwa na mtazamo wa aina yake tofauti na wengine wanaoangalia ujazo wa mali ndio wakubali kuolewa
 
nilifanya jaribio la kuoa nikatuma mshenga akaeleze muoji hana kazi ya kipato cha kueleweka, amepanga chumba, hana kitanda na godoro analalia maboksi chini, maisha yake hayana msisimko wa mali, ana miaka sitini. Binti alikubali akasema huyo ndio mzuri tutaanza naye maisha chini na tutafanikiwa. Binti alikuwa na mtazamo wa aina yake tofauti na wengine wanaoangalia ujazo wa mali ndio wakubali kuolewa
I appreciate
Watu wanapokosea hawaangalii mtu...wana angalia kitu...siku hamna kitu...mtihani....na kwenye hali ya kawaida ni maigizo kwa ajili ya kitu.
 
upo sahihi mzee ila wanawake hawakubaligi kuambiwa ukweli sikuzote huaminigi uongo tongoza demu umwambie mi ni mumachinga wa kawaida kila siku jua langu mvua yangu samtaim napigaga ndefu uone kama utampata .wazee walikuwa wananisimulia walipo kuwa wanatafuta wake walikuwa wana azima pamba,akiona funguo ya gari,piki piki funguo za nyumba anaokota baadae anafunga lundo la funguo kwenye key chain.kwa hiyo dem alikuwa akipigwa swaga anaonyeshwa funguo za land kuruza anapagawa mwishowe anaamua kung'oa mke,wanawake hawakubali ukiwa ambia maisha yako halisi unakosa mke,wanawake wameumbwa kwa ajili ya kudanganywa rejea hata kwenye bustani ya edeni,
 
nilifanya jaribio la kuoa nikatuma mshenga akaeleze muoji hana kazi ya kipato cha kueleweka, amepanga chumba, hana kitanda na godoro analalia maboksi chini, maisha yake hayana msisimko wa mali, ana miaka sitini. Binti alikubali akasema huyo ndio mzuri tutaanza naye maisha chini na tutafanikiwa. Binti alikuwa na mtazamo wa aina yake tofauti na wengine wanaoangalia ujazo wa mali ndio wakubali kuolewa
Hongera sana hakika ulipata kilicho chema.
 
Ilikua enzi zetu ila kwa sasa mtapigwa na tukio....unadhani anakupenda kumbe anaangalia mwenye afadhali ya hali huko kwingine...ww muonyeshe maokoto akuachie moyo...ndo maisha ya sasa Balqior
Maokoto yakiwa kiungo jua ipo siku mtaachana tu. 😀 Akipatikana mwenye namba kukuzidi utaachwa mchana kweupe wanawake wenye tamaa ya hela hawajuagi kuridhika.
 
Back
Top Bottom