Tafuta TV station ya Tanzania ninuwe mda wa saa moja

Tafuta TV station ya Tanzania ninuwe mda wa saa moja

joseph2

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2015
Posts
458
Reaction score
1,032
Mimi nataka kuanzisha kipindi cha tv show kwenye TV za Tanzania. Ila sijui mikataba ya vipindi Tanzania Ina kuwa je. Show hiyo itakuwa ni ya kusafiri kila nchi.

Ila kwa kuanzia naanza kusafiri kila mkowa wa tanzania na kuongea wenyeji. Lengo kubwa itakuwa ni kuonyesha fursa za biashara, kazi na kuelimisha jamii.
 
Nadhani hii lugha umechanganya kimakua,kidengereko na kiswahili kwa pamoja sawa kila lenye kheri liwe kwako katika kuanzisha tv show yako na ufikishe salamu zetu kwenye MIKOWA yote utayofika..
 
Zilikuepo za hivo sijui wameishia wapi.
 
jiulize royo tua imeishia wapi alafu ww unaanza hayo mambo utakufa vibaya ww😂😂😂
 
Ukipata nichek nina ideas za vipindi vya Tv cz ni Media producer
 
Idea nzuri. Ila ungesafiri kitofauti ingevutia zaidi. Mfano ungetumia usafiri wa bike kusafiria huku ukirekodi matukio yako ingekua poa zaidi.
 
Back
Top Bottom