Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Salaam Wana JF nikianza kwa vyeo vyenu: new members, members, jf experts, na
wale ma Platinum members ambapo jf nzima tupo Mimi LABAN og na Mshana Jr
Back to the topic
Baada ya kufanya utafiti ( research) kwa muda wa miaka 20 nimekuja kugundua kuwa pesa Ina nguvu kubwa kuliko heshima ya mtu, umri hapa duniani especially kwenye mapenzi
Hili limetokea baada ya hapa kitaa nilipopanga kutrend habari za Mimi kumpiga Kitu kizito muhindi ( betting) nimeona rate ya dadaz wa Rika zote wakijisogeza kwangu......salaam haziishi......namba ngeni kila siku wakilalamika kuwa nmekuwa adimu ilihali wengi wao Ni married tayari!!!!!!!!
Nb. Vijana tafuteni pesa .....now nipo napanga ratiba ya kuanza kubandua mmoja mmoja[emoji23][emoji23]
Ushauri wenu.....vipi dozi iwe mara ngapi kwa siku????????
But ushauri uwe constructive tu (positive)[emoji23][emoji23][emoji23]
wale ma Platinum members ambapo jf nzima tupo Mimi LABAN og na Mshana Jr
Back to the topic
Baada ya kufanya utafiti ( research) kwa muda wa miaka 20 nimekuja kugundua kuwa pesa Ina nguvu kubwa kuliko heshima ya mtu, umri hapa duniani especially kwenye mapenzi
Hili limetokea baada ya hapa kitaa nilipopanga kutrend habari za Mimi kumpiga Kitu kizito muhindi ( betting) nimeona rate ya dadaz wa Rika zote wakijisogeza kwangu......salaam haziishi......namba ngeni kila siku wakilalamika kuwa nmekuwa adimu ilihali wengi wao Ni married tayari!!!!!!!!
Nb. Vijana tafuteni pesa .....now nipo napanga ratiba ya kuanza kubandua mmoja mmoja[emoji23][emoji23]
Ushauri wenu.....vipi dozi iwe mara ngapi kwa siku????????
But ushauri uwe constructive tu (positive)[emoji23][emoji23][emoji23]