Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Ukiniambia nianze kunywa pombe naanza...chochote nakubali [emoji16]
Oa Bieree
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we pampula lini ulinifuma nakunywa
Kwani yule alofanya ukajipikilisha kaishia wapi? Usikubali kuungua hivi hivi bwana. Vuta weka ndani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we pampula lini ulinifuma nakunywa
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] mwee basi siku hizi nimeachaKuna sehemu uliniambia unagonga vyombo mara moja moja..kule selfika nadhani
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yule alikuwa wa mualiko tuKwani yule alofanya ukajipikilisha kaishia wapi? Usikubali kuungua hivi hivi bwana. Vuta weka ndani.
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amwalike tu waishi pamoja.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yule alikuwa wa mualiko tu
Tena kwa amani na furaha, happily ever after.Amwalike tu waishi pamoja.
[emoji177][emoji419][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu kweli naona kuna ujumbe mods wanajaribu kutupa mimi na Mshana ila hatujauelewa bado
Internal, Asante sana.
Thank you Vers.
Ooooh!!!!Napokea Heshima hii Rafiki...My Queen Makiseo [emoji2772] Heshima kwako, ni kati ya Wanawake makini na mtaratibu...
Heshima nyingi sana kwako...
Sent using Jamii Forums mobile app