Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Nawashukuru Wana jf wenzangu niliwapenda ila uhalisia umeonyesha hamnipendi kila zinapoanzishwa nyuzi Kama huwa sitajwi kamwe as if am nothing.nilijua Niko kwenye familia inayojali hisia kumbe hapana anyway nimewaelewa .

Kumbe mnavyowakatisha tamaa waliochoshwa na maisha huwa hamuigizi ndio nyie halisi mlivyo.

Hamjali hisia za wengine sikutegemea nitatajwa ila nilipitia uzi huu ili nione thamani yangu kwenu unfortunately am worthless!!


Kuanzia Leo nadhani sitatuma post yeyote iwayo mpaka naingia kaburini.

Kwaheri jf kwaherini (I planted my pumpkins on a desert)

Hamtaniona humu milele

Mimi sio attention sicker Ila nilijua kwamba humu Kuna watu wanaojali watu kumbe nop I was wrong

Mungu awe nanyi.

Chaoo
 
Mimi sio attention sicker[emoji30][emoji30][emoji30] SEEKER... SICKER [emoji119][emoji119][emoji119][emoji23]

Jr[emoji769]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu Mimi nilikuwa najiandaa kukutaja hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
superbug Kuwa na amani moyoni huwezi kukosa anayekupenda humu ni vile watu wameweka moyoni..

Mimi binafsi sijashiriki kumtaja member yeyote kuwa namkubali lakini haina maana siwakubali watu humu, ukweli wapo wengi ninaowakubali japo sijawataja..

Hupaswi kulaumu bali tengeneza namna bora ya kujikubali mwenyewe hapo utakuwa umejitibu..

Usitegemee watu wengine wakupe furaha Jifunze kujipa furaha mwenyewe!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtani umegundua nini tena? Au ndio uligundua kunimiss Mtani. Teh teh (Kiswahili hiki) lol [emoji3][emoji3]

Nipo Mtani na ni mzima kabisaa. Kwema?
Hahah si unajua kiswahili cha Pwani kinaenda mbele nyuma..

Kwa ufasaha nimekumiss Mtani..mimi mzima bila shaka nawe u buheri kabisa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…