Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji2][emoji2] asante sana ma kajacho[emoji8]Wanafamilia yangu wa LIKES [emoji173][emoji173]
Numbisa The Happiness carbamazepine Saint Anne Khantwe
Davet king himself [emoji3]
SHIMBA YA BUYENZE big bro
andjul uncle maparachichi
capitalpool mr. Codes
ningendako baba kajacho [emoji3][emoji3]
myoyambendi jirani [emoji870]
moudgulf [emoji870][emoji870]
Daemusin babu rojo rojo [emoji262]
Sijataja mtu lakini
[emoji109][emoji109][emoji123]
Ahsante sana Mkuu
Umeona eenh, kwanza mie wangu nitawataja siku nyingine.
Ahsante sana Maki. Humu naingia kila siku eti, ila kuna muda sijui ndo nakuwa tu mvivu wa kuandika magazeti lol
Kweli aisee, kuna watu unakuta wamekupa likes kwenye comments zako katika threads ambazo hata haukuwaza kama watazifungua unabaki tu unajiuliza mwee huyu kafika hadi huku.Much love to you sweet Makiseo ni mara chache sana nisikute notification ya like kutoka kwako hata niwe nimeandika comment sijui kichochoro gani.!
I real appreciate this mumie, Leo nimepata nafasi ya kutoa ya moyoni.!!
Yaani kuna watu wanajua kusambaza upendo mdogo wangu mpaka unaikamata ID yake akilini japo siyo mchangiaji sana.! Maana 'reacted to your post' zitokazo kwake ni kibao, angekuwa mkaka ningesema he is my secret admirer.!Kweli aisee, kuna watu unakuta wamekupa likes kwenye comments zako katika threads ambazo hata haukuwaza kama watazifungua unabaki tu unajiuliza mwee huyu kafika hadi huku.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sisi kama wewe tu
Hahahaha sio kwa kujiliza kule aisee.Babe acha hizo, kupendwa raha
Itakua tunapishana maana siku hizi kumepoa sana[emoji1317][emoji1317] shukrani sana.
Siku hizi sikuoni kule kijiweni kwetu, sijui tunapishana?
Page ya 27 hii hakuna hata mmoja anayenikubali....
Ama kweli Corona koboko... mtavaa mabarakoa mpaka mtakapunikubali
Ngoja niendelee kunywa sanitizer yangu K Vant
CC Kasie mtata malabuku zako, umesababisha nisikubaliwe na hiki kizazi cha enzi za Corona
Hahaha mie nakutanaga nao wengi tu na sijui hata niwaiteje maana pengine wanaweza kuwa siyo secret admirers wangu !!Yaani kuna watu wanajua kusambaza upendo mdogo wangu mpaka unaikamata ID yake akilini japo siyo mchangiaji sana.! Maana 'reacted to your post' zitokazo kwake ni kibao, angekuwa mkaka ningesema he is my secret admirer.!
'siwezi kuandika kitu kifupi, nina matatizo'.!!