Nasemaga yasemwayo humu kuna maukweli na ya kutunga pia,Hahahahaha,endelea na mishe zako humu ,utaumiza kichwa bure, wanajuana
Nadhani mtu ukikubali kuzama pm ukakubali kuanza kujadili mtu, hapo ndio matatizo yanapoanzia. Mtu anakuja, eti hivi ERoni kweli unamkula Joannah? WTF?, ndio namkula tena ni mtam balaa😅Hilo pdf sikuliona mkuu, ni upumbavu wa hali ya juu. Utoto mwingi
Sawa sawaNasemaga yasemwayo humu kuna maukweli na ya kutunga pia,
Kazi kwao kwa waliotungiwa na wenye maukweli yao[emoji23][emoji23],
Kifupi waachage mautoto[emoji419]Sawa sawa
Watu wa aina hii ni wa kuwaepuka sana, ogopa mtu anayependa kuzungumzia habari za watu tena mkiwa wawili kama huko PM. Small minds discuss peopleNadhani mtu ukikubali kuzama pm ukakubali kuanza kujadili mtu, hapo ndio matatizo yanapoanzia.
Hahahahahaha,Kifupi waachage mautoto[emoji419]
NAKAZIAKifupi waachage mautoto[emoji419]
[emoji419]Rafiki.Hahahahahaha,
Utoto sana humu[emoji419]NAKAZIA
Sina makasiriko mkuu, niliamua kujiweka pembeni mwenyewe kwani huyu Joannah ni binti mrembo sana na muungwana, niliona kama vile sitamuweza kummudu alivyo mrembo😂😂😂😅😅😅 Glen bhana ndonaskia anamakasiriko ya kuachwa na dada
Kuna Groups humu, kuna id unaziona huku na zinaelewana, na kuna id unaziona kwingine nazo zinaelewana ,kila kikundi nadhani kinataka info za mwenzake, wanafanyiana ujasusi wa mahusiano😂😂[emoji419]Rafiki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeAcha kabisa[emoji23]
Sketi yenye upako wake
Safi sanaSina makasiriko mkuu, niliamua kujiweka pembeni mwenyewe kwani huyu Joannah ni binti mrembo sana na muungwana, niliona kama vile sitamuweza kummudu alivyo mrembo😂😂😂
Kwa hiyo nimeamua nimuage mapema asipoteze muda, nitapata mwingine panapo majaaliwa
Ndo maana ake. [emoji23][emoji23][emoji23]Hatumuachi
Hadi kifo kitakapowatenganisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
G for life[emoji23]
Mkuu nimekosea?Safi sana
Tuko poaaWakulamba galasa washalamba, mliobaki mko poa
Yote ni ubatili tu, upate taarifa za mtu tena usiyemjua zikusaidie nini?Kuna Groups humu, kuna id unaziona huku na zinaelewana, na kuna id unaziona kwingine nazo zinaelewana ,kila kikundi nadhani kinataka info za mwenzake, wanafanyiana ujasusi wa mahusiano😂😂
Tuwaambie ili iwejee? [emoji23][emoji23][emoji23]Mnapeana utamu na vijidudu na mko kimya hamtuambii[emoji28]
Hahahaha, kwani mjinga mpk anaitwa mjinga ,si mambo km hayoYote ni ubatili tu, upate taarifa za mtu tena usiyemjua zikusaidie nini?