Acha dharau basi,Ina maana Huoni juhudi za Upendo wangu?ππNajibebea vizuri tu, halafu nabebishana nae live humu.π π bahati mbaya tu sipendwi!!
Juhudi zako sijaziona, hivi zangu zimeshagonga mwamba au niongeze nguvu kidogo?πAcha dharau basi,Ina maana Huoni juhudi za Upendo wangu?ππ
Yanii ni Hekaheka sio kidogo!!Asante kipenzi kwa kuniita umbea ungenipita huu ngoja nisome comments.
Naona Mambo bado yanaendelea!π€ πππHili ndolinathibitisha ule msemo wa moyo wa mtu kichaka laiti kama tungefunguliwa mioyo ya watu sijui tungejificha wapi imagine mtu anakua na makasiriko na mtu asiemjuaπ π
HahahahahaJuhudi zako sijaziona, hivi zangu zimeshagonga mwamba au niongeze nguvu kidogo?π
Unaanza na Avatar,Rudisha tu jina lakoππTusiopendwa tuko wengi basi ,ila kweli ukimpata wako ,unajiachia tu ,Noma Kwao
Jina sirudishi ,hili ni langu halisiUnaanza na Avatar,Rudisha tu jina lakoππ
Shida ni mtu hakujui wala hajui unafananaje ila ili apate sifa na Wangese wenzie anatangaza anakujua huu Umbwaa waache wakubali sio Wanawake wote humu tunahitaji kuonana na Members wa Jf.Humu Unafiki mtupu yani!
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa!!πππ!Shida ni mtu hakujui wala hajui unafananaje ila ili apate sifa wa Wangese wenzie anatangaza anakujua huu Umbwaa waache wakubali sio Wanawake wote humu tunahitaji kuonana na Members wa Jf.
πππFactIli timbwili litaisha endapo mtawacha kushea mibolo na nyapuz kima nyie
We si unajua tena Nguvu inaongezwaje nashangaa unaleta mambo ya milimani...Juhudi zako sijaziona, hivi zangu zimeshagonga mwamba au niongeze nguvu kidogo?π
Nimefurahi kukuona jukwaani ustadhati[emoji16][emoji16][emoji16]Fact
π π π π π πWe si unajua tena Nguvu inaongezwaje nashangaa unaleta mambo ya milimani...
Bado tumo mpaka tutoleweπ πNaona Mambo bado yanaendelea!π€ πππ
Imeisha hiyooIli timbwili litaisha endapo mtawacha kushea mibolo na nyapuz kima nyie
HahahahahaIli timbwili litaisha endapo mtawacha kushea mibolo na nyapuz kima nyie
Hee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii wee nae ulizidi, bora umekuja Dar umebadilika kdg
Sisi tunasubiri tu tuje kula pilauHii imeendaaa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]