Hivi huyo ni ww kweli ? π³π³π³Liangalie kwenye avatar π€£
Dj waletee ππππ π π Aisee kati yangu na yako nani hayuko sawa we huoni aibu kutongoza dada zako na wa mama humu.! Huna adabu we mtoto
π€£π€£π€£ sio me ila naye ana komweHivi huyo ni ww kweli ? π³π³π³
Mbona una ki shape kitamu π
Kijana ananiambia tukutane tuzichapeπ€£Huyo kijana ni mjinga tu tena ni mtoto kabisa bado anakunya na kulala kwa kutumia boom We mchukue demu huyo mkuu
Unaona sasa ndugu yangu,kwa style hii mrembo atakuelewa kweli? Unasifia dada zake?π€£I miss your sexy voiceπ
Ohh hapo sawa eeh nilitaka nishangae ππ€£π€£π€£ sio me ila naye ana komwe
We jamaa omba sana nisikutie mikononi mwangu.π π π Aisee kati yangu na yako nani hayuko sawa we huoni aibu kutongoza dada zako na wa mama humu.! Huna adabu we mtoto
Hiyo hiyo inamfanya cobra asimameπ
We ni kanya boya tu huna lolote. π€£π€£π€£ We wakunitisha unaenda huku unapigwa cha mbavu huku unapigwa cha mbavu kama zezeta vile ππ€£π€£π€£. Bora hata pacha wako Binadamu Mtakatifu kaamua atulie ajisomee πππ we endelea kutia tia huruma humu π©π©π©π©π©π©We jamaa omba sana nisikutie mikononi mwangu.
Mishe zinaenda kama kawaMwanangu mshamba_hachekwi uko poa
Wapi huko nimeenda, usinitafute maneno sitaki banWe ni kanya boya tu huna lolote. π€£π€£π€£ We wakunitisha unaenda huku unapigwa cha mbavu huku unapigwa cha mbavu kama zezeta vile ππ€£π€£π€£. Bora hata pacha wako Binadamu Mtakatifu kaamua atulie ajisomee πππ we endelea kutia tia huruma humu π©π©π©π©π©π©
Macho hayana pazia sijielewi yaaniπ€£Unaona sasa ndugu yangu,kwa style hii mrembo atakuelewa kweli? Unasifia dada zake?π€£
π€£π€£π€£ Hata wewe unaniombea mabaya ndugu yako?MTAACHANA πππ
Vina muda basi
We unajua mwenyewe ulipokuwa unaenda ndo maana imeitwa pm (private message).Wapi huko nimeenda, usinitafute maneno sitaki ban
Kwa Depal hujakoseaβ€οΈπ
Hapo hajakosea hata mimi nimemwambia huko juu.
Nilitaka tu kuchangamsha genge ππππ€£π€£π€£ Hata wewe unaniombea mabaya ndugu yako?