Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Lamomy cocastic Tayana-wog Missy Gf Joannah na wadada wengine tuwe makini wapendwa!!


Shukrani sana madam
Hao nawaamini hawawezi kuingia mitego ya kijinga.

Ila kwa wengine sasa ndio kazi ipo,. Kama national antem aliweza kuwakusanya kibao tu na akawachambua mmoja baada ya mwingine bila wenyewe kujua, unafikiri itakua ngumu kuwanasa?
 
Hao nawaamini hawawezi kuingia mitego ya kijinga.

Ila kwa wengine sasa ndio kazi ipo,. Kama national antem aliweza kuwakusanya kibao tu na akawachambua mmoja baada ya mwingine bila wenyewe kujua, unafikiri itakua ngumu kuwanasa?
Hahahahahaha,kumbe ndio maana wana hasira , ujue najiuliza hizi hasira za nn ,na ni nani huyo anakasirikiwa hivi,hahahahaha
 
Tobaa😂😂😂😂
Okoa jahazi
 
Kwa kweli
Ngoja tumsubiri Coca.


Scenarios zote hizo nazikumbuka vizuri.

Muda mrefu sasa tumetafuta source.. ngoja tuone
Hakuna marefu yasiyo na ncha.
 
Aisee
 
Mmhh
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…