Kweli kabisa😀Tatizo humu naweza kumpenda mwanangu...
Kwahiyo sisi tusiyo wateja wako wa miche ,tusilale vizuri mkuu😜Usiku mwema wateja wangu wote wa Miche ya matunda,nina wapenda na kuwadhamini sana.
😂😂 Nyie pia nina walavu ,ila hao wakuu wana nafasi ya kipekee moyoni.Kwahiyo sisi tusiyo wateja wako wa miche ,tusilale vizuri mkuu😜
Basi wacha na mie niwapende wateja wangu wa magari na wanaonipa nagari yao niwauzieUsiku mwema wateja wangu wote wa Miche ya matunda,nina wapenda na kuwadhamini sana.
Sambaza upendo mkuu😂😂Basi wacha na mie niwapende wateja wangu wa magari na wanaonipa nagari yao niwauzie
nawapenda sana.
Atleast maana ,we love you too and soon tutakua wateja wako wa papai ili tupate pia hiyo special part in youur heart.😀😂😂 Nyie pia nina walavu ,ila hao wakuu wana nafasi ya kipekee moyoni.
karibu mama,ukiwa mteja wangu basi unapata special offer ya kukaa moyoni😂Atleast maana ,we love you too and soon tutakua wateja wako wa papai ili tupate pia hiyo special part in youur heart.😀
Usiku mwema mai souli meti. Mungu Akulinde na kukutunza mpaka utimilifu wa dahari [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji23][emoji23][emoji23]Usiku mwema wapendwa wote katika Bwana, pamoja na wewe mleta uzi, nawapenda[emoji7]
Mkuu, huwa unauza miti ya matunda? Unapatikana wapi?Usiku mwema wateja wangu wote wa Miche ya matunda,nina wapenda na kuwadhamini sana.
Toa hiyo J.H. uweke SYB. Kasie Matata [emoji870][emoji870][emoji870]Mchana mwema J. H.
Ooh Amen and thank you my Salimeti, Mungu atulinde sote afu sijakuona mda mrefu ,how are you?Usiku mwema mai souli meti. Mungu Akulinde na kukutunza mpaka utimilifu wa dahari [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Usiku mwema Mnyamwezi wangu Kassie Matata. Ulale unono.Mchana mwema J. H.