Tahadhari hawa TALA nimatapeli ......

Tahadhari hawa TALA nimatapeli ......

jokotinda_Jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2022
Posts
882
Reaction score
1,536
Hawa TALA bado wanaendelea kuwaibia watu tena kwakutumia clip za wasanii maarufu ...baya zaidi wana dai pesa utatumiwa online ... mamlaka husika haiwezi kamata hawa watu?? ...mbona vitu vingine ni rahisi kuvifuatilia mfano mikutano ya ndani ya vyama pinzani kwanini jambo ovu kama hili wasilifuatilie ...inasikitisha sana
 

Attachments

  • 14fb10b92cfef0acc733343ab044684d.mp4
    3 MB
Hiyo ni video fupi ya billnass ...tala wana tumia kwenye matangazo yao kuwaibia watu
We jamaa tala gani wanatumia hzo clip, tala Wana uwezo wa kukupa pesa zote hzo , alaf wanakwambia watakutumia online baada ya wewe kuwapa nini , mpak unahs unaibiwa , tala washafunga ofsi zao bongo na tangazo walitoa public
 
We jamaa tala gani wanatumia hzo clip , tala Wana uwezo wa kukupa pesa zote hzo , alaf wanakwambia watakutumia online baada ya wewe kuwapa nini , mpak unahs unaibiwa , tala washafunga ofsi zao bongo na tangazo walitoa public
 

Attachments

  • Screenshot_20220725-212815_Instagram.jpg
    Screenshot_20220725-212815_Instagram.jpg
    85.4 KB · Views: 10
Mbona na nyie mliwapiga

Hapo ni mwendo wa kutandikana ru

Ova
 
Back
Top Bottom