A
Anonymous
Guest
Hii Kampuni ambayo inaonyesha kusajiliwa Tanzania, ina dalili zote za kitapeli kama makampuni mengi yahayojitangaza kufanya biashara ya Sarafu za kidigitali (BITCOIN).
www.titmining.com
Wameweka kwenye tangazo lao nyaraka za usajiri ili kuvutia watu lakini uzoefu kampuni za aina hii asilimia 99.99% ukiweka hela zako utapigwa tu!. Mwanzoni utapata kidogo na kuvutiwa kualika wengine hata kupata ushawishi wa kuongeza mtaji.
Kuna kampuni kama BestWay Capital Management (BCM) iliyokuwa na ofisi zake Masaki, ilikuwa na nyaraka za usajili na wafanyakazi lakini mwishowe imeondoka na zaidi ya TZS 16,000,000,000 za watanzania na wengi wakiwa ni wastaafu.
Muhimu tutambue, hakuna hela inayopatikana kirahisi kama wanavyotangaza. Wekeza kwenye mabenki, UTT, Bond za BOT na hisa zinazotangazwa na DSE au popote palikosajiliwa kwenye masoko ya mitaji. Kwa Tanzania CMSA.
Hela inatafutwa kwa taabu sana kuipoteza kirahisi itakuuma sana. kuweni makini
www.titmining.com
Wameweka kwenye tangazo lao nyaraka za usajiri ili kuvutia watu lakini uzoefu kampuni za aina hii asilimia 99.99% ukiweka hela zako utapigwa tu!. Mwanzoni utapata kidogo na kuvutiwa kualika wengine hata kupata ushawishi wa kuongeza mtaji.
Kuna kampuni kama BestWay Capital Management (BCM) iliyokuwa na ofisi zake Masaki, ilikuwa na nyaraka za usajili na wafanyakazi lakini mwishowe imeondoka na zaidi ya TZS 16,000,000,000 za watanzania na wengi wakiwa ni wastaafu.
Muhimu tutambue, hakuna hela inayopatikana kirahisi kama wanavyotangaza. Wekeza kwenye mabenki, UTT, Bond za BOT na hisa zinazotangazwa na DSE au popote palikosajiliwa kwenye masoko ya mitaji. Kwa Tanzania CMSA.
Hela inatafutwa kwa taabu sana kuipoteza kirahisi itakuuma sana. kuweni makini