Tahadhari, Kesho ni April fools

Tahadhari, Kesho ni April fools

silent lion

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
1,278
Reaction score
1,794
Asije mtu akaingizwa chaka bure, kwa kweli huu ujinga wa wazungu si wakushabikia hata kidogo. Uongo ni uongo tu na si jambo la kufanyiwa mzaha. Nakumbuka mwaka juzi Redio Zanzibar ilitangaza kuwa itagawa mchele bure, masikini ya Mungu wakajazana studio, kufika wanaambiwa leo ni siku ya Wajinga, it was soo painfulll!!!!!!
 
Hiyo ilikuwa radio gani.. Mbona walifanya upuuzi sana.
 
Tutasikia raisi msaidizi wa Dar ametumbuliwa.
Asije mtu akaingizwa chaka bure, kwa kweli huu ujinga wa wazungu si wakushabikia hata kidogo. Uongo ni uongo tu na si jambo la kufanyiwa mzaha. Nakumbuka mwaka juzi Redio Zanzibar ilitangaza kuwa itagawa mchele bure, masikini ya Mungu wakajazana studio, kufika wanaambiwa leo ni siku ya Wajinga, it was soo painfulll!!!!!!
Wasiliana na mod warekebishe kichwa, waite Bashite day.Uzi utakuwa mtamu
 
Asije mtu akaingizwa chaka bure, kwa kweli huu ujinga wa wazungu si wakushabikia hata kidogo. Uongo ni uongo tu na si jambo la kufanyiwa mzaha. Nakumbuka mwaka juzi Redio Zanzibar ilitangaza kuwa itagawa mchele bure, masikini ya Mungu wakajazana studio, kufika wanaambiwa leo ni siku ya Wajinga, it was soo painfulll!!!!!![/QUOTE

Yaani hizi habari za kuiga zimepamba moto miaka ya hivi karibuni,kuna hiia "April Fools" na "Valentine Day".

Utakuta watu wanafanya maandalizi ya kutosha kusubiri tarehe hizi, wanakuwa na mihemko ya ajabu ajabu kiasi unashindwa kuelewa tatizo ni nini? Je ni ulimbukeni wetu wakuiga kila kitu ama ni ulewa mbaya?

Nawatahadharisha Watanzania tuache kuiga kila jambo si vizuri.
 
Hiyo ilikuwa radio gani.. Mbona walifanya upuuzi sana.
Redio Zanzibar au Sauti ya Tanzania Zanzibar (S.T.Z) na ni redio ya SMZ. walitangaza watagawa mchele bure. sasa kipindi kile hakukua na social media kama sasa kwa hiyo watu wengi hawakujua kama ni April fool
 
Back
Top Bottom