Tahadhari: Kumwambia mwenzio mjinga ni kosa la jinai hapa tanzania!

Tahadhari: Kumwambia mwenzio mjinga ni kosa la jinai hapa tanzania!

Ngida1

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2009
Posts
586
Reaction score
206
Wakati mwengine hapa ukumbini watu wanaitana wajinga. Ni lazima tujue kuwa kumwambia hivyo mwenzio anaweza kukushitaki, kwani hilo ni kosa la jinai.
"Na shitaka la nne ambalo linamkabili Sheikh Azzan Khalid (wa Uamsho) peke yake ni kufanya kitendo kinachoweza kuleta uvunjifu wa amani, pamoja na kumtolea maneno ya kashfa na matusi Kamishna wa Polisi wa Zanzibar. Matusi hayo ya Sheikh Azzan ilidaiwa kuwa alimwambia Kamishna huyo kuwa mjinga, jambo ambalo mahakama ilidaiwa kuwa lingeliweza kusababisha uvunjifu wa amani nchini."
Kumwambia Kamishna mjinga vipi amani itavunjika nchini? Huu sio uwongo jamani? Huku sio kumtafutia mtu kosa bure bure?
Anyway, ndio nchi yetu!

ZANZIBAR NI KWETU: Mawakili wa UAMSHO wazidi kulalamika huku wateja warejeshwa rumande!

/Ngida1
 
una uhakika na unachoongea kwamba huyo bwana kashitakiwa kwa kosa hilo tu? na pia inategemea alisema hivyo kwenye mazingira gani?
 
una uhakika na unachoongea kwamba huyo bwana kashitakiwa kwa kosa hilo tu? na pia inategemea alisema hivyo kwenye mazingira gani?

"Na shitaka la nne ambalo linamkabili Sheikh Azzan Khalid.........."
 
Legally we do not refer to undecided cases which are still under judicial proceedings, but rather decided ones by either of the two, high court and court of appeal. Also to precedents which generate principles for which the law in question shows a blemish. So your offence should be established by any of these, that is, the Penal Code and the precedents.
 
Back
Top Bottom