TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

Mbona matapeli kila siku wanazaliwa na kila siku wanajiunga JF????

Cha msingi kila abiria achunge mzigo wake .

Naamini hata wakitajwa na ID zao kuwekwa hadharani bado kwa ujinga wa watanzania waliowengi watalizwa tu coz watabadili ID na mchezo unaendelea kama kawa.

Mfano:- Kuna chama cha matapeli (cc..) lakini mbona mijitu imo na inajiandaa kutapeliwa tena mwaka huu?????
 
Nyongeza ni kwamba - utapeli ni pamoja na kufanya mambo huku ukihofia kufahamika. Binafsi nawashtukia member wengi ambao hata Avator wameweka vitu vya ajabu - sio sura zao. Wanahofia nini kama kweli ni wasafi kwenye matendo yao? Matapeli ni wengi humu japo kuna ..... (jaza)
 
atajitetea "nilikua napokea amri...." hapa dawa ni kutoa mfumo
 

Pia napenda kuwaomba wana jf tupeana elimu zaidi juu ya imani mabalimbali zinazodhania kutukwamisha hasa katika ujasiriamali mambo haya yapo kweli na kama yapo tutumie njia gani kukabiliana nayo na hata kutazua kama inawezekana.

1. Chuma ulete(elimu ya kimazingara kadiri unavyojitahidi kutafuta kipato lakini kipato kile wanachuwa wataalamu bila ya wewe kufahamu na matokeo yake unakua unashuhudia kipato chako hakikui au hamna mabadiliko ya kimaendeleo).

Napenda kuwasilisha karibuni tushikishane uzoefu!
 
MAFUNZO YA USINDIKAJI MAZIWA.

Tunatoa mafunzo ya wiki moja ya usindikaji na uhakiki wa ubora wa maziwa hapa Morogoro SUA. Piga simu namba 0657-193935/0755-027893 kwa Mr Watuta upate maelezo zaidi.
 
mfichaficha maradhi kilio kitamfichua
 
Mhhh!
 
Kuna jamaa mmoja hivi anaitwa Nikson Johnson Mapunda ni tapeli wa kutupwa hafai kabisa humu jf
 
TAZAMA MADEM WA CHUO WAKITOMBWA LIVE HAPA !!!
USISAHAU KUSUBSCRIBE ILI UPATE UTAMU ZAIDI.
 
kama imethibitika ni tapeli, ifungwe akaunti yake, na ndo dawa pekee,na baada ya kufungiwa account yake awekwe hadharani ili iwe fundisho kwa watu wengine..Naunga mkono hoja :A S thumbs_up::A S thumbs_up:
Account ya pesa au JF?

Hivi inachukuwa DK. ngpi kufunguwa ID mpya?

Muhimu ni kutoamini yeyote mitandaoni.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…