Tahadhari kwa Simba, mjiandae kwa hujuma michuano ya shirikiaho africa robo fainali na kuendelea

Tahadhari kwa Simba, mjiandae kwa hujuma michuano ya shirikiaho africa robo fainali na kuendelea

Lee Van free

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2024
Posts
1,535
Reaction score
5,332
Wapinzani wa Simba wamekua wakiumia sana Kwa mafanikio yenu katika michuano ya Kimataifa.

Wameumia sana kutolewa hatua ya makundi.

Wameumia sana Kwa Simba kufuzu kuingia robo fainali.

Wapo kati Yao wanaomini kua Simba ndio waliohujumu ili wao wasifuzu.

Wanaona wivu kua huenda Simba ikaingia nusu fainali,
Na Wana wasiwasi kua,iliingia nusu fainali fainali haitakua shida Kwa Simba kufika fainali.

Hofu ya wivu ni kwamba kama Simba ikaingia fainali pengine inaweza kuja na kombe.
Hofu hii ni kubwa sana .

Kwa hiyo mioyoni mwao wanachoweza kufikiri ni kuihujumu Simba ili isivuke robo fainali.

Hapa Simba inatakiwa ijipange kukabiliana na hujuma toka kwa mpinzani wao wa ndani wa jadi Kwa kua atakua akishiriliana na wapinzani wao wageni watakaokua wanakuja kushindana na Simba katika michuano hii ya shirikisho kwa mwaka huu 2025.

Adui yako mwombee njaa, mafanikio yenu ni mateso kwao, wanaamini wao Wana timu nzuri kuliko Simba, wanashangaa Simba inajenga timu, lakini inafanya vizuri kwa muda mfupi.

Simba ijiandae kwa hujuma.
 
Wapinzani wa Simba wamekua wakiumia sana Kwa mafanikio yenu katika michuano ya Kimataifa.

Wameumia sana kutolewa hatua ya makundi.

Wameumia sana Kwa Simba kufuzu kuingia robo fainali.

Wapo kati Yao wanaomini kua Simba ndio waliohujumu ili wao wasifuzu.

Wanaona wivu kua huenda Simba ikaingia nusu fainali,
Na Wana wasiwasi kua,iliingia nusu fainali fainali haitakua shida Kwa Simba kufika fainali.

Hofu ya wivu ni kwamba kama Simba ikaingia fainali pengine inaweza kuja na kombe.
Hofu hii ni kubwa sana .

Kwa hiyo mioyoni mwao wanachoweza kufikiri ni kuihujumu Simba ili isivuke robo fainali.

Hapa Simba inatakiwa ijipange kukabiliana na hujuma toka kwa mpinzani wao wa ndani wa jadi Kwa kua atakua akishiriliana na wapinzani wao wageni watakaokua wanakuja kushindana na Simba katika michuano hii ya shirikisho kwa mwaka huu 2025.

Adui yako mwombee njaa, mafanikio yenu ni mateso kwao, wanaamini wao Wana timu nzuri kuliko Simba, wanashangaa Simba inajenga timu, lakini inafanya vizuri kwa muda mfupi.

Simba ijiandae kwa hujuma.
Dawa yao sasa hivi Simba ipunguze kuongea sana. Wakati mwingine majivuno na majigambo mengi ndiyo yanayochochea wivu, chuki na husda kutoka kwa watu.

Tuendelee kuwaambia sisi bado tunajenga timu hata kama ndani ya mioyo tuna matamanio makubwa zaidi.

Hiyo trick Yanga waliitumia miaka miwili iliyopita walipokuwa shirikisho wakaja kubugi mwishoni kabisa.
 
Dawa yao sasa hivi Simba ipunguze kuongea sana. Wakati mwingine majivuno na majigambo mengi ndiyo yanayochochea wivu, chuki na husda kutoka kwa watu.

Tuendelee kuwaambia sisi bado tunajenga timu hata kama ndani ya mioyo tuna matamanio makubwa zaidi.

Hiyo trick Yanga waliitumia miaka miwili iliyopita walipokuwa shirikisho wakaja kubugi mwishoni kabisa.
Najua wewe ni mdau wa soka na uko karibu na Viongozi wa simba,peleka ushauri huu kwa Viongozi.
 
yanga always huwa ni ajenda ya timu ndogo ndogo hizi
 
Inamaana miaka yote mnayo ishia robo mnahujumiwa!!
Yaani uende Nusu kwa ushambuliaji Kibu , Ateba na Ahua!!

Msitafute sababu, siku zote robo ndio Ubingwa wenu.
 
Back
Top Bottom