Tahadhari kwa vyombo vya habari na jamii kwa ujumla

Tahadhari kwa vyombo vya habari na jamii kwa ujumla

PCZZO

Member
Joined
Jul 4, 2012
Posts
11
Reaction score
0
Kwa upande wangu hasa katika kipindi hiki tukielekea katika maadalizi ya katiba mpya ningeomba vyombo vya habari viandike au vitoe taqarifa sahihi na sio kupotosha watu kwani kwasasa imeonekana vinatoa taarifa zinazoonekana ni uchochezi wa watu hivyo kuhatarisha maisha ya wananchi kwa ujumla.Na wananchi pia wasishabikie vyama wakasahau lengo halisi kwani lengo ni kufanya malekebisho ya katiba na sio malekebisho ya chama ni hayo tu

by

PCZZO
 
Back
Top Bottom